Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Kwanini iwe mie ndio natakiwa kueleza uchawi ni nini katika huu uzi? Mimi sio mwenyewe uzi na nakuja hapa nakuta wengine mshachangia maoni yenu kuhusu uchawi na mie nachangia, sasa nashangaa unaposema nimekuwa mgumu kuelezea nini maana ya uchawi.

Mkuu ungetaka kujua maana ya uchawi hakika usingesubiri hadi nije wakati mie nimekuta watu mshaanza kujadili humu, acha kunionea mkuu.
umeanzisha mada au hoja?
 
Uchawi upo zaidi kiroho ila unatenda kazi juu ya mwili na uchazi ni zaidi ya kanuni za asili..uchawi unaweza kufanya jambo ambalo ni kinyume na kanununi za asili

Kwa mfano huko mitaani tumezoa kuambiwa mtoto mdogo anaweza kupata homa kwasababu ya kijicho(ameangaliwa vibaya na mtu asiye na lengo zuri). Jambo kama hilo kwa hali ya kawaida huwez kuliamini lakini siku ukiwa na mtoto mdogo zile
 
Uchawi upo zaidi kiroho ila unatenda kazi juu ya mwili na uchazi ni zaidi ya kanuni za asili..uchawi unaweza kufanya jambo ambalo ni kinyume na kanununi za asili

Kwa mfano huko mitaani tumezoa kuambiwa mtoto mdogo anaweza kupata homa kwasababu ya kijicho(ameangaliwa vibaya na mtu asiye na lengo zuri). Jambo kama hilo kwa hali ya kawaida huwez kuliamini lakini siku ukiwa na mtoto mdogo zile
Malizia
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ni kweli kabisa unachokisema...kama wewe hujawahi kuwaona albino haimaanishi kwamba albino hawapo, hata kama utaamini wapo kwa shingo upande basi utaona ni jambo lenye utata sana kwasababu kwa hali ya kawaida binadamu hawezi kuwa albino
Albino haiwezi kuwa mjadala ni kwasababu wapo kwenye jamii, na jamii ambayo imepumbazika kwa ushirikina ndio huwaua hao Albino.

Unaelewa kwamba hoja ya uchawi upo iliwahi kufanyiwa challenge ya kuwa tested na ikafeli?

Mwingine anaweza kusema pengine watu hawakujitokeza kuthibitisha kwasababu hakukuwa na faida yeyote watayo ipata in return.

Hapana. Kulikuwa na 1 Million dollars ya prize kwa atayeweza

Mwingine anaweza kusema hakukuwa na muda wa kutosha wa hiyo challenge kufanyika.

Hapana. Challenge ilidumu kwa miaka zaidi ya 50 mpaka inakuja kuwa terminated 2015 hakuna aliyeweza kuthibitisha uchawi upo na unafanya kazi

Unajua aliyeweka hiyo challenge ni nani?

Alikuwa ni James Randi ambaye alikuwa ni maarufu kwa sifa za uchawi.

Unaweza kujiuliza kivipi huyu anayeitwa mchawi aweke tena challenge ya kuthibitisha uchawi upo?
 
Albino haiwezi kuwa mjadala ni kwasababu wapo kwenye jamii, na jamii ambayo imepumbazika kwa ushirikina ndio huwaua hao Albino.

Unaelewa kwamba hoja ya uchawi upo iliwahi kufanyiwa challenge ya kuwa tested na ikafeli?

Mwingine anaweza kusema pengine watu hawakujitokeza kuthibitisha kwasababu hakukuwa na faida yeyote watayo ipata in return.

Hapana. Kulikuwa na 1 Million dollars ya prize kwa atayeweza

Mwingine anaweza kusema hakukuwa na muda wa kutosha wa hiyo challenge kufanyika.

Hapana. Challenge ilidumu kwa miaka zaidi ya 50 mpaka inakuja kuwa terminated 2015 hakuna aliyeweza kuthibitisha uchawi upo na unafanya kazi

Unajua aliyeweka hiyo challenge ni nani?

Alikuwa ni James Randi ambaye alikuwa ni maarufu kwa sifa za uchawi.

Unaweza kujiuliza kivipi huyu anayeitwa mchawi aweke tena challenge ya kuthibitisha uchawi upo?
Alikuwa mwanamazingaombwe (stage magician)
 
Nyie mnaotaka kujua uchawi ni nini hamuwezi kupata jibu mnalolitaka kwasababu mnaamini yote yanatokea kwa sababu ya sayansi tu laiti kama mngejua kidogo upande wa pili nadhani mngeuliza maswali mengi kwaajili ya kujifunza na sio mabishano
Extraordinary claims require extraordinary evidence
 
Kuna jamaa yangu, kaanza kwenda kwa waganga wa kusini huko.Huyu ninamsadiaje.Maana wamemshika kichwa, full kuwasha maubani nyumbani kwake, imesababisha ugomvi na mke.Then ni msomi kabisa huyu ni muajiriwa taasisi nzuri tu ya kiserikali.
 
Kuna jamaa yangu, kaanza kwenda kwa waganga wa kusini huko.Huyu ninamsadiaje.Maana wamemshika kichwa, full kuwasha maubani nyumbani kwake, imesababisha ugomvi na mke.Then ni msomi kabisa huyu ni muajiriwa taasisi nzuri tu ya kiserikali.
Mke awe anafungulia redio ya Mwamposa ili iwe vurugu juu ya vurugu mpaka asalimu amri.
 
Katafute kwanza definition ya uchawi.
Zipo nyingi sana naweza kuzileta ikawa mada mpya kabisa kujadili ipi ni sahihi, ndio maana nimekuuliza kwa vile unavyoelewa hadi ukajenga hoja ya kwamba huo uchawi ungekuwepo afrika ingekuwa tajiri.

Uchawi unahusu utajiri?
 
Tafiti. Kuna vitabu kabla ya Biblia. Vitabu vingi vitafute.
Unani hakikishia vipi kuwa utafiti ulio ufanya wewe ni wa kweli 100%?

Kipi kinakupa uhakika wa kuamini ulicho kisoma kuwa ni cha kweli ili hali kimeandikwa na binadamu kama wewe?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom