Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,545
- 2,177
- Thread starter
- #141
Ushahidi upi?ushahidi wapi
Ushahidi upi?ushahidi wapi
wa uandikayoUshahidi upi?
Hao Aljazira vipi?wa uandikayo
😍😍😍😍😍😍😍Kuruhusu Mimba Ni Kualalisha Ngono Kwa Mabinti
Kwa akili yako al jazeera ndo dunia au unaleta uhafidhina? Mie sijasimama na nyumba yangu kwa kuhalalishiwa huu umalaya wa kizanzibariHao Aljazira vipi?
Kwa akili yako al jazeera ndo dunia au unaleta uhafidhina? Mie sijasimama na nyumba yangu kwa kuhalalishiwa huu umalaya wa kizanzibarHebu
Rudia kusoma weweHebu rudia kusoma comment yako
Balance iko kwenye kutia mamba nawewe jela miaka 30Mtoa mada nlpat hisia kukutukan lakn samehe
Jinsi ulivyoelezea mimba kuwa nini na nini bila kumuelezea alitia mimba nae anA haki ya kuendelee kuw kitaa hapo ndio nmeon story haiko balance...
Yaishe mkuuRudia kusoma wewe
Basi wanaowapa mimba hao watoto wa kike wasifungwe miaka 30 nao wasameheweTumegawanyika saba kuhusu kipi kilicho sahihi. Lakini kumnyima mtoto shule kwa sababu ya mimba hiki ni kifungo cha maisha...
Unaonaje wakisamehewa wanaowapa mimba wanafunzi?Kwani yeye zilikua ni fedha zake au za wananchi
Na hap watoto ni wanani
Alikurupuka
Daaah, Mkuu au wewe tayari?Basi wanaowapa mimba hao watoto wa kike wasifungwe miaka 30 nao wasamehewe
Kila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni...
Imekukolea hiyo , huwezi kupalilia Uchawa wako kwa kutumia jf , tutakuumbua tu .CHADOMO KATIKA UBORA WAKO
Daah, Hivi CHADEMA umebaki peke yako?Imekukolea hiyo , huwezi kupalilia Uchawa wako kwa kutumia jf , tutakuumbua tu .
endelea kuamini miujizaDaah, Hivi CHADEMA umebaki peke yako?
Pacha daaah,Hebu rudia kusoma comment yako
Kipi kibaya halo?alafu mtoa maada na ww unajiita mwanume