Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,545
- 2,177
- Thread starter
- #121
naungana na weweKwa kifupi hili si jambo jipya, ila kisiasa ni jipya.
naungana na weweKwa kifupi hili si jambo jipya, ila kisiasa ni jipya.
Nzuri sana hii aise, Mungu mbariki Rais SamiaView attachment 2022705
AFRICA KENYA : WANAFUNZI WAKIELEKEA CHUMBA MAALUMU CHA KUNYONYESHEA
View attachment 2022703
ULAYA : MWANAFUNZI AKINYONYESHA MTOTO KWENYE MAHAFALI BAADA YA KUSOMA AKIWA NA MTOTO,
leta mkeo mjombaalafu mtoa maada na ww unajiita mwanume
Kwa kuruhusu ngono shule za msingiDunia imemwelewa sana Rais, Huyu Mama anatufanya tupate heshima zaidi kimataifa,
Imemwelewa sana zaidi,Dunia imemwelewa sana Rais, Huyu Mama anatufanya tupate heshima zaidi kimataifa,
Lete huo waraka wakuruhusu ngono shuleni mjombaKwa kuruhusu ngono shule za msingi
Halalisheni tu sasa wazae hata wanyonyeshe madarasani tukiwa tunawafundisha na ikiwezekana ndoa ziruhiswe baina yao mashuleni wakiamua na wapewe chumba kimoja na wenzi wao hasa wale wa bweni.Kila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.
Unakijua kifungo cha nje bongo?Kwa hili namuunga mkono SSH, wapewe adhabu kali ikiwemo fine au kazi ngumu ila wasinyimwe haki ya kusoma.
However kma aliempa mimba ni under 18 basi miaka 30 iwe substituted na kifungo cha nje. Itakua win win situation.
Tulikosa $300M kijinga kabisa aise,View attachment 2022705
AFRICA KENYA : WANAFUNZI WAKIELEKEA CHUMBA MAALUMU CHA KUNYONYESHEA
View attachment 2022703
ULAYA : MWANAFUNZI AKINYONYESHA MTOTO KWENYE MAHAFALI BAADA YA KUSOMA AKIWA NA MTOTO,
Tatizo liko wapi?ohoo kumbe tulinyimwa mkopo wa mamilioni ya dola sababu tumezuia mtoto wa kike mwenye ujauzito kurudi shule? kwa hiyo soon tutapata huo mkopo??
maana tulianza na Covid, vikaruhusiwa vya kuruhusiwa ghafla mkopo huo, na hii tena kama hivyo, dah tabu kweli
ila kuna kitu kimoja ambacho nilikiona, Raisi aliyepita alisema hao wanaotaka wenye ujauzito waendelee na shule, kwanini wasijenge shule kwa gharama zao na wawasomeshe hao watoto???
Nini mbaya hapo?alafu mtoa maada na ww unajiita mwanume
Kwa hiyo dunia imesimama lini? Hili jukwaa ni fulla of idiots. Misifa ya kishamba!Kila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.
Dunia imesimama pamoja, maana yake imemuunga mkonoKwa hiyo dunia imesimama lini? Hili jukwaa ni fulla of idiots. Misifa ya kishamba!
Rekebisha heading , Dunia haijawahi kusimama na watawala wanafiki na waongo , wenye ndimi mbili mbili kutoka ccm , huyu alikuwemo kwenye utawala ule ule ulioshabikia unyama , badilisha , andika hivi Samia asimama na dunia kama ubinadamu unavyotaka .Kila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.
Povu la nini si ujinyonge tuRekebisha heading , Dunia haijawahi kusimama na watawala wanafiki na waongo , wenye ndimi mbili mbili kutoka ccm , huyu alikuwemo kwenye utawala ule ule ulioshabikia unyama , badilisha , andika hivi Samia asimama na dunia kama ubinadamu unavyotaka .
Msiwabebeshe watu sifa ambazo hawana
CHADOMO KATIKA UBORA WAKORekebisha heading , Dunia haijawahi kusimama na watawala wanafiki na waongo , wenye ndimi mbili mbili kutoka ccm , huyu alikuwemo kwenye utawala ule ule ulioshabikia unyama , badilisha , andika hivi Samia asimama na dunia kama ubinadamu unavyotaka .
Msiwabebeshe watu sifa ambazo hawana
Yeye ndio tatizo, Tuwaogope tu hawa watotoSheria za kidwanzi mbebaji wa mimba aanarudi shule mbebeshaaji anakulaa 30..hizo ni akili kweli..et tuna wasomi
Akili kibaba kweli.
ushahidi wapiKila mwaka zaidi ya wasichana 6,500 wakiTanzania waliachishwa|walifukuzwa shule kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni,
Mwaka 2017 aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa kutumia nguvu ya Rais alikataa watoto hawa kuendelea na masomo.
Benki ya Dunia ikatunyima fedha kiasi cha $300M karibu TZS 690BL baada ya kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe Zitto Zuberi Kabwe kuwataka wafanye hivyo,
Je kulikuwa na haja kwa Hayati Rais Magufuli kufanya hayo?
Sote tunafahamu,Mimba sio ugonjwa, Mimba sio kilema,Mimba sio laana ,Mimba ni dalili ya ukamilifu na utimilifu wa kizazi cha mwanamke,
Lakini pia, Mimba ni baraka ya Uzao toka kwa Mungu iweje iwe laana?
Kwamtazamo wangu,awamu zilizopita zilimchukulia Mwanafunzi aliyepata mimba akiwa shuleni kitofauti sana
1. Zilidhani kupata mimba shuleni ni laana toka kwa Mungu na Wanadamu,
2. Zikamwona kama ni mtoto asiyefaa tena kuishi duniani
3. Zikafikiri ni mtoto asiyetakiwa kupata elimu tena utadhani mimba inafuta kumbukumbu,
4. Zikamwona kama malaya na huenda akipewa nafasi nyingine ya kuendelea na masomo atasambaza tabia hiyo mbaya kwa wanafunzi wengine,
5. Ziliamini kabisa ni mtoto asiyevumilika tena katika kuendelea na masomo yake,
Zitto Kabwe na baadhi ya Wabunge wa CHADEMA kama Esther Matiko na Halima James Mdee pamoja na wanaharakati wengine nguli wa kimataifa kama Maria Tsesai Sarungi na Shangazi Fatuma Karume na wengime wengi,
Watu hawa Wote kwa pamoja, walimpinga Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwa nguvu na kwaakili zao zote,
Wakati huohuo wakiziandikia taasisi mbalimbali za kimataifa hasa UNESCO|SIDA|IMF|WB zisitishe misaada na mikopo ya masharti nafuu kwa Tanzania kwa kukiuka haki hii ya Watoto,
Kwanini tusimpongeza Rais Samia kwa hili
Leo kwa mara ya kwanza toka kwa Rais wa kwanza mwanamke anayetambua kwa mifano kuwa "Mimba si laana wala mimba sio kilema cha akili"
Rais Samia tayari amerejesha furaha iliyopotea kwa miongo mingi kwa waathirika hawa wa mimba za mashuleni,
Leo haijalishi mimba mwanafunzi kaipataje iwe ni kwakubakwa au kurubuniwa cha kwanza mtuhumiwa atakwenda jela miaka thelathini,
Kisha mwanafunzi huyu baada ya kujifungua mtoto atarejea Shuleni kuendelea na masomo kama kawaida,
Tunaposema Rais Samia ni mteule wa Mungu tunamaana hii kwani hakuna mtimilifu mbele zake,
Hebu chukua huu mfano
Martha Karua mwanasiasa nguli tena mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya,
Martha ndiye anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kwenye Uchaguzi Mkuu Ujao wa Kenya wa mapema 2022,
Ningumu kuamini ila mama huyu ni muhanga wa "Mimba za Shuleni " aliyepewa nafasi ya pili kuendelea na masomo yake,
Kwa msiofahamu, Kenya imekuwa na ruhusu kwa Wale wanaopata mimba shuleni kurejea na kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua,
Nakwamantiki hii,Huenda Kenya ikapata Makamu wa Rais aliyepewa mimba akiwa bado shuleni,
Tunamengi ya kujifunza ila kwa sasa pongezi nyingi zimfikie Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kuwa mimba sio laana bali ni baraka toka kwa Mungu.