kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,335
- 7,744
kesho ntauweka ndugu yangu,ni mrefuTunasubr uzi huo.
kesho ntauweka ndugu yangu,ni mrefuTunasubr uzi huo.
Aisee kausha mkuu,si vyema kuwataja hapa jukwaaniNamfahamu huyo jamaa
Nitoboeeee
Why divorce?Straight to judge asaini divorce.
Mambo ya shida na raha kwa kesi hii yatakaa pembeni

Naomba msaada kujua ni kiporo gani alienda kupasha?Shosti aliolewa baada ya ndoa na honeymoon AmerisourceBergen kazini, mume alikuwa na likizo wiki moja mbele. Mambo ya penzi changa shost amemwbia boss kichwa kinauma aende kupasha kiporo.
Amefika nyumbani, sebuleni hakuna mtu, lakini mlango wa nyuma umerudishwa tu, alinyata mpaka chumbani khe asimkute mume ameshikishwa ukuta na njemba.
Kumbe all the way mume shoga smart na alimwambia jamaa siku flani wife atakuwa kazini. Mwanaume ana mpunga mrefu na anpigia magoti shost amfichie siri kwa gharama yeyote ile
Ungempa ushauri gani?
Looh unitag stor ikijaUmenikumbusha kitu kilichotokea kule unguja,ntaleta uzi humu,ni uzi wa kusikitisha,Duh!
Namwacha aende salama kwa kweli hata Mungu ataelewaWhy divorce?
Si amefanyia mwili wake na viungo vyake kwani vya mkewe?
Kama ni dhambi atahukumiwa huyo mume alone hakunaga hukumu ya kurithishana ......
Amshauri tu kuacha na kama hataki amtizame tu atajijua na majanga yake..![]()
![]()
![]()
na ni wachache mnoooo, sie tumebaki kuwatunzia siri tu hakuna jinsiUwezo wa Mwanamke kutunza siri ni 47hrs after hapo anatoa siri zote Ndio maana hata wewe umejua hivyo sasa hapo bado Kuna siri? "
Ila nimegundua kuwa wanaume tumebaki wachache sana
Kama uwezo wko wa kutunza siri ni Zaid ya 47hrs unastahili pongez coz wengi wenu Hamna uwezo huona ni wachache mnoooo, sie tumebaki kuwatunzia siri tu hakuna jinsi
Sodoma na gomora ktk quran imeelezwaje tafadhali nipe DaawaTusubiri majanga tu dunia inavyoenda hivi sasa.
Sodoma inatungoja tena inafanana kweli na Dodoma na huko ndio makao makuu yetu.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
hahaahh, sawa ValentinaUkitagiwa unipm pls
usiseme hivyo tafadhali unaitamkia mabaya nchi yetu hasa makao makuu, bado tuna nafasi ya kurekebisha tulipo kosea, uzuri ni kwamba nchi haijaruhusu hii laana!Tusubiri majanga tu dunia inavyoenda hivi sasa.
Sodoma inatungoja tena inafanana kweli na Dodoma na huko ndio makao makuu yetu.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Kwahyo uyo shosti nae anapigwa mashine na uyo mumewe shoga?Tena tukiwa ndani ninamwambia asiniguse kabisa si mambo ya kichafuana hapa
Mkuu unakumbuka ahadi yako tunasublia uzi ukukesho ntauweka ndugu yangu,ni mrefu

Huyo shost wko lazma akili zake kma lemutuz kulelewa,hakuna namna umuache jamaa aendelee kushikishwa ukuta 2 nae kma vipi amsaidie mumewe kushka ukuta....kweli ukistajabu ya musa utaona ya .....lusindeShosti aliolewa baada ya ndoa na honeymoon AmerisourceBergen kazini, mume alikuwa na likizo wiki moja mbele. Mambo ya penzi changa shost amemwbia boss kichwa kinauma aende kupasha kiporo.
Amefika nyumbani, sebuleni hakuna mtu, lakini mlango wa nyuma umerudishwa tu, alinyata mpaka chumbani khe asimkute mume ameshikishwa ukuta na njemba.
Kumbe all the way mume shoga smart na alimwambia jamaa siku flani wife atakuwa kazini. Mwanaume ana mpunga mrefu na anpigia magoti shost amfichie siri kwa gharama yeyote ile
Ungempa ushauri gani?
Nachukua mtaji. Nakaa nae. Kisha natafuta wa kunitoa hamu zangu njee. Yeye aendelee kushikishwa ukuta tuh![]()