





Fanya uulete basiUmenikumbusha kitu kilichotokea kule unguja,ntaleta uzi humu,ni uzi wa kusikitisha,Duh!
Unakubali shida na raha ukiolewa na mwanaume si shoga
Inachefua pia ukifikiria wote mnapata makinikiaInachoma km pasi omba yasikukute, kila ukifumba macho Picha ya kwanza utaona watu wameshika ukuta. Pole yake ila Hawa wanaume smart kupitiliza wanashida sana.
Achukue mpunga alafu atafute mume mwingine hakuna ndoa hapo.
Kitakacho niweka hapo ni hela zake tu. Yy atajua mwenyeweTena tukiwa ndani ninamwambia asiniguse kabisa si mambo ya kichafuana hapa
Inachefua pia ukifikiria wote mnapata makinikia
Hivi unamtengea chakula kabisa shoga?ukimwangalia akitembea utaona km anakatikia dushelele. Kila akikwambia kitu utarefer ulichokiona.
Alafu yule mume wa mumeo atajua umeshajua wanaweza kupiga simu usiku yaaalaah nafaaa.
Sijui wewe unayekazania kuishi nae ukiona simu ya yule mpenzi wa mumeo utajisikiaje?
Mateso bla chuki, usione wenye pesa wamekonda wanayo mengi kwenye miiyo yao.
Sana mkuu na yanashangaza sana. Mfano kuna punga moja lina kazi nzuri na elimu nzuri, sa mwezi ulioisha wazazi wake ndo wamejua tabia zake. Mama ake mbona alizirai kwa mshtukoIna Mengi mkuu
Mkuu watoto wa kiume wa magetini sikuhizi wanaharibiwa shule ni hasa boarding schools. Fikiria unalipa ada millions 20 kwa mwaka upate pungaSana mkuu na yanashangaza sana. Mfano kuna punga moja lina kazi nzuri na elimu nzuri, sa mwezi ulioisha wazazi wake ndo wamejua tabia zake. Mama ake mbona alizirai kwa mshtuko