tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,323
Wanaume wanaowalawiti watoto wa kiume nao wanaongeza intensity ya tatizo hili.Sana mkuu na yanashangaza sana. Mfano kuna punga moja lina kazi nzuri na elimu nzuri, sa mwezi ulioisha wazazi wake ndo wamejua tabia zake. Mama ake mbona alizirai kwa mshtuko