Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,549
mbona umeguna.
mbona umeguna.
Waleta link? Teletee tusome maajabu magumu kuyaamani hapo yanatokea dailyUmenikumbusha kitu kilichotokea kule unguja,ntaleta uzi humu,ni uzi wa kusikitisha,Duh!
Wachache mnooUwezo wa Mwanamke kutunza siri ni 47hrs after hapo anatoa siri zote Ndio maana hata wewe umejua hivyo sasa hapo bado Kuna siri? "
Ila nimegundua kuwa wanaume tumebaki wachache sana
Duh hatariNa yeye ampe huyo njemba. Iwe 3some jamaa ajilie mume na mke
ndoa???Mbona umepotea sana au ndo majukumu ya ndoa changa Super women 2
Kweli shilawadu mmezidi mjinisasa hivi mashoga wamekua wengi sana, kuna jamaa mmoja ambaye ni bosi flani kwenye moja ya makampuni ya simu, akishalewa matako humuwasha anabanduliwa hadi na watoto wadogo, ukimuona akiwa anaongea na waandishi wa habari ni bonge la gentleman ila sasa ukutane nae usiku hadi sauti inakua ya kike, anachofanya anawanunulia sana pombe alafu anachukua basha wake anaenda kugongwa, mara ya mwisho juzi baada ya idd saa mbili usiku amegongwa kichakani gari kapaki pembeni!
ndoa???
Shosti aliolewa baada ya ndoa na honeymoon Ameomba ruhusa kwa boss kazini, mume alikuwa na likizo wiki moja abele. Mambo ya penzi changa shost amemwbia boss kichwa kinauma aende kupasha kiporo.
Amefika nyumbani, sebuleni hakuna mtu, lakini mlango wa nyuma umerudishwa tu, alinyata mpaka chumbani khe asimkute mume ameshikishwa ukuta na njemba.
Kumbe all the way mume shoga smart na alimwambia jamaa siku flani wife atakuwa kazini. Mwanaume ana mpunga mrefu na anpigia magoti shost amfichie siri kwa gharama yeyote ile
Ungempa ushauri gani?
Sijasema kuwa ni wa Dar mkuuWanaume wa Dar bwana....mi naona ile bahari inawatatiza au too much bongo fleva inawakosesha maadili. Huyo ni kumwambia tu aachane na huyo shoga a.k.a. mume si riziki kwani akiendelea nae atakuja kumpa magonjwa ya hajabu.
Sijasema kuwa ni wa Dar mkuu
Uko wapi huo Uzi wa mapunga...kesho ntauweka ndugu yangu,ni mrefu
Arusha .Kazi nyingine zinakufanya uwaze x2.Sijui nini kifanyikeKuna story inafanana na hiyo; wahusika wako Arusha. Hapo siri hamna maana katika kuomba ushauri siri haipo tena.
Note: niliipata kwa colleague wangu ambae ni rafiki yake na huyo mwanamke ambae anapigiwa mumewe