Dunia hii

Dunia hii

sasa hivi mashoga wamekua wengi sana, kuna jamaa mmoja ambaye ni bosi flani kwenye moja ya makampuni ya simu, akishalewa matako humuwasha anabanduliwa hadi na watoto wadogo, ukimuona akiwa anaongea na waandishi wa habari ni bonge la gentleman ila sasa ukutane nae usiku hadi sauti inakua ya kike, anachofanya anawanunulia sana pombe alafu anachukua basha wake anaenda kugongwa, mara ya mwisho juzi baada ya idd saa mbili usiku amegongwa kichakani gari kapaki pembeni!
Kweli shilawadu mmezidi mjini
 
Shosti aliolewa baada ya ndoa na honeymoon Ameomba ruhusa kwa boss kazini, mume alikuwa na likizo wiki moja abele. Mambo ya penzi changa shost amemwbia boss kichwa kinauma aende kupasha kiporo.

Amefika nyumbani, sebuleni hakuna mtu, lakini mlango wa nyuma umerudishwa tu, alinyata mpaka chumbani khe asimkute mume ameshikishwa ukuta na njemba.

Kumbe all the way mume shoga smart na alimwambia jamaa siku flani wife atakuwa kazini. Mwanaume ana mpunga mrefu na anpigia magoti shost amfichie siri kwa gharama yeyote ile

Ungempa ushauri gani?


Wanaume wa Dar bwana....mi naona ile bahari inawatatiza au too much bongo fleva inawakosesha maadili. Huyo ni kumwambia tu aachane na huyo shoga a.k.a. mume si riziki kwani akiendelea nae atakuja kumpa magonjwa ya hajabu.
 
Wanaume wa Dar bwana....mi naona ile bahari inawatatiza au too much bongo fleva inawakosesha maadili. Huyo ni kumwambia tu aachane na huyo shoga a.k.a. mume si riziki kwani akiendelea nae atakuja kumpa magonjwa ya hajabu.
Sijasema kuwa ni wa Dar mkuu
 
Aya majitu yanatudhalilisha wanaume.sasa wewe unajijua punga unaenda kuoa ili iwe nini.kuna punga lingine nalifahamu linaoa mwezi wa 8 alafu mtoto mbichi kabisa.Sasa limewaambia mabasha zake wasiseme kitu ila kuna mmoja anasema likishaoa ndo anamsanua bi mkubwa.
 
Kuna story inafanana na hiyo; wahusika wako Arusha. Hapo siri hamna maana katika kuomba ushauri siri haipo tena.
Note: niliipata kwa colleague wangu ambae ni rafiki yake na huyo mwanamke ambae anapigiwa mumewe
Arusha .Kazi nyingine zinakufanya uwaze x2.Sijui nini kifanyike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom