Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,806
- 152,940
Naam! Uchunguzi zaidi umeonyesha kuwa Brazil wamekomba $11.2 million kwa ajili ya mechi mbili za TZ na Zim so inaelekea tumelipa around $6 mil kweli! TUMELIWA!!
Source:Brasil confirma amistosos, e jornal franc
Ndiyo maana nikasema hata WaBrazil wenyewe wanatushangaa.
Umenotice kwamba hiyo figure (R$ 11 btw) haiko katika details, buried within the article, bali ipo katika headline?
Inaonekana hata kwao ni scoop.