Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,488
Si mdo hapo mkuu! Tumetaka wenyewe kujitangaza kwa kupitia wao.....SASA tunalalamika nn?
Kwani tulikuwa tynataka tucheze na world soccer super stars bure?
Tumetaka wangapi? Mi sikushirikishwa, kuulizwa wala kubariki upuuzi huu.
Unajua "several million dollars" zinaweza kufanya nini katika kusaidia kuwawezesha watu wa hali ya chini kujitutumua, mashuleni, mahospitalini, kwenye kuweka maji safi vijijini, umeme?
Leo hii zinakwenda kutupwa kwenye mpira mara moja.
Serikali ya Tanzania ni kama baba mlevi anayetumia mshahara wake kwenye pombe wakati watoto wake wana njaa, wagonjwa na hawana nguo za kuvaa.