Duh! Kumbe Brazil imelipwa kuja kucheza Bongo!

Si mdo hapo mkuu! Tumetaka wenyewe kujitangaza kwa kupitia wao.....SASA tunalalamika nn?
Kwani tulikuwa tynataka tucheze na world soccer super stars bure?

Tumetaka wangapi? Mi sikushirikishwa, kuulizwa wala kubariki upuuzi huu.

Unajua "several million dollars" zinaweza kufanya nini katika kusaidia kuwawezesha watu wa hali ya chini kujitutumua, mashuleni, mahospitalini, kwenye kuweka maji safi vijijini, umeme?

Leo hii zinakwenda kutupwa kwenye mpira mara moja.

Serikali ya Tanzania ni kama baba mlevi anayetumia mshahara wake kwenye pombe wakati watoto wake wana njaa, wagonjwa na hawana nguo za kuvaa.
 
Ni sababu ya KIUTALII (matangazo) au ni ya KIMICHEZO au ni ya KISIASA (uchaguzi) au ni ya KIJINGA??
 
Mawazo ya Zitto kuhusiana na issue hii:

Zitto Kabwe
Guys, how much does it cost to put a 30 seconds advert on CNN? Brazil - Stars match will be watched in 160 countries for 90 minutes. It is worth it. Sasa jamani sisi miaka 4 tunapiga kelele ufisadi ufisadi, maalbino, indecisiveness, power blackouts etc..... tuache Watanzania wafurahi japo kidogo na wao. waende Taifa kuwaona Brazil nk. Relax guys relax

Zitto Kabwe Private sector in Tanzania? What is the private sector in Tanzania? These companies lining up at our treasury asking for tax exepmtions? State has a role to make its people HAPPY. Let Tanzanians lough and loosen up a bit. You it is only football which unites us as people? It is only football that raise our patriotism (really?). Only football and it seems watawala wanajua hili.....
 
Inadaiwa Brazil wamelipwa $6 million. Kuna haja ya kujua ni nani aliyeidhinisha malipo haya.
 
I wrote about this issue earlier...leo ndo mmeshtuka?hahahaha
kazi kweli kweli!!!




Brazil to play Tanzania in pre-World Cup friendly
By Emmanuel Muga​






BBC Sport, Dar es Salaam, Tanzania​







999999.gif

_47406236_kaka.jpg
The likes of Kaka could line up against Tanzania in Dar es Salaam​



Brazil are to play Tanzania on 7 June in a World Cup warm-up match ahead of this summer's finals in South Africa.
The Brazilians have become the first non-African team to schedule a friendly in Africa in the build-up to the tournament, which kicks off on 11 June.
Tanzanian Football Federation (TFF) spokesman Florian Kaijage told BBC Sport that a contract would be signed within the next two to three days.
Brazil also plan to play Zimbabwe but no date as yet has been set.
Regarding Brazil's friendly against Tanzania in Dar es Salaam, Kaijage said: "Brazil have already put this game in their plan, so obviously they are sure of coming, unless something unusual happens.​



It's very exciting. Finally we've succeeded in attracting Brazil




TFF president Leodegar Tenga​






"On our side, we were given some conditions to meet. The federation and the government have been meeting but chances are higher that the conditions will be met for the game to go ahead," he added.​



The terms include an appearance fee requested by Brazil, which Kaijage described as being "several million dollars".



Tanzania have been eager to play a part in the World Cup build-up by hosting one of the finalists, and the TFF president Leodegar Tenga stated it would be an exciting prospect for the east African country.
"It's very exciting. Finally we've succeeded in attracting Brazil, who are obviously the biggest team in the world, to play our national team," Tenga commented.
The government earlier this year appointed a committee led by a minister and with a budget of about $6m (£4.17m) for the purpose, but most teams contacted by the TFF turned them down.
North Korea had planned to play two friendlies in Zimbabwe, but that was shelved after protests over Matabeleland, where rights groups say a North Korean-trained army unit killed thousands of people during the 1980s.
Brazil are currently training in the southern Brazilian city of Curitiba and are due to depart on 2 June.
Taifa Stars are currently in a training camp ready for an African Nations Championship (CHAN) final round, second leg qualifier against Rwanda, which will take place on 5 June in Kigali.​







Hapo pekundu pameniacha hoi! Itatu-cost several million dollars! Yani hapo ni $2mil kwenda juu. Huu ni ujinga au vipi? Priorities zetu vipi wakuu? Je na Zimbabwe nao itawa-cost hivyo? Nchi ile si ina njaa?
 
Yap sawa sio vibaya kabisa kuwalipa brazil. Na brazil wanalipwa na nchi nyingi wanazocheza nazo usishangae hata hiyo gharama tunayolipa wametuunguzia sana. ila kujiuliza tumejindaa na kuweka mazingitra ya kunufaikka, iwe kiuchumi, kimichezo au kimatangazo?


Kuna njia nyingi zimetumika na zinatumika kuitangza tanzania amabzo sio Feasible.Mfano unatangaza tanzania kwa kulipa matangazo ya kwenye mabasi yaliyopo heathrow. Nani anayaona haoyo matangazo. wasafiri amabo tayari washapanga safari zao.

At least to play brazil is a feasible way than many other alterantive in use

Brazil ni katika nchi chache sana zenye booming ecnomy kwa sasa. Zaidi ya mpira tuna mengi ya kujifunza
 
Yap sawa sio vibaya kabisa kuwalipa brazil. Na brazil wanalipwa na nchi nyingi wanazocheza nazo usishangae hata hiyo gharama tunayolipa wametuunguzia sana. ila kujiuliza tumejindaa na kuweka mazingitra ya kunufaikka, iwe kiuchumi, kimichezo au kimatangazo?


Kuna njia nyingi zimetumika na zinatumika kuitangza tanzania amabzo sio Feasible.Mfano unatangaza tanzania kwa kulipa matangazo ya kwenye mabasi yaliyopo heathrow. Nani anayaona haoyo matangazo. wasafiri amabo tayari washapanga safari zao.

At least to play brazil is a feasible way than many other alterantive in use

Brazil ni katika nchi chache sana zenye booming ecnomy kwa sasa. Zaidi ya mpira tuna mengi ya kujifunza

Tembelea hapa uone mtoto anakosa tiba mpaka anadungwa sindano YA PUNDA na kufa. Nadhani Tz kadhia zinazofanana na hii zipo nyingi tu.

Watu kaa nyie wenye fikra duni DNA zenu zina kansa mnatakiwa mpigwa risasi MPOTEE kwene uso wa dunia.
 
IT IS THE BEST IDEA BECAUSE IF WE PLAY WELL AGAINST THEM OUR NATIONAL TEAM WILL IMPROVE ITS IMAGE IN WORLD SOCCER,IF ANY MONEY WAS USED,THE GAME WILL PAY BACK INCLUDING :target: FROM THE EXPENSES THAT THEIR TEAM WILL PAY WHILE IN THE COUNTRY.
 
Mawazo ya Zitto kuhusiana na issue hii:

Zitto Kabwe
Guys, how much does it cost to put a 30 seconds advert on CNN? Brazil - Stars match will be watched in 160 countries for 90 minutes. It is worth it. Sasa jamani sisi miaka 4 tunapiga kelele ufisadi ufisadi, maalbino, indecisiveness, power blackouts etc..... tuache Watanzania wafurahi japo kidogo na wao. waende Taifa kuwaona Brazil nk. Relax guys relax

Kwanza kabisa hii hela imetoka kwenye bajeti gani?


Nani kakwambia kwamba hayo matangazo ya CNN tunaafikiana nayo? Mimi naona nayo ni ufujaji wa mali ya umma tu. Huwezi kutangaza sekta ya utalii kabla ya kuwa na sekta ya utalii madhubuti.

Tanzania hakuna sekta ya utalii ya kusema, weka miundombinu, piga sabuni sehemu zinazohusika, then unaita watalii.

Sio wewe unataka kutumia $ 6 m kwa "kutangaza" Tanzania katika mechi moja, halafu ukipiga hesabu mapato ya utalii 2009 ni $ 1.35 billion. Tayari mshaondoa 0.45% ya mapato -mapato, si faida- ya utalii ya mwaka jana.

Msitake kutumia kigezo cha utalii hapa, kama mnataka kutangaza utalii tangazeni mbuga, mpira kwa nchi isiyojulikana kwa mpira kama Tanzania na utalii wapi na wapi?

There are more cost effective ways to advertise Tanzania's tourism sector, certainly not by this extravagant excuse of extracurriculum excesses.

Hawa ndio opposition wanaotaka kuchukua nchi hawa? Je wana uchungu na pesa ya nchi hawa? Au ni kama hao hao CCM B tu, wanasubiri kufika Ikulu na kuchukua serikali na kuanza kununua mirada, midege kochokocho, migari ya mibunge kila muhula, mihela mpaka iwapalie waote vitambi hata kutembea washindwe wawe wanapelekwa bungeni na mi wheelchair ya dhahabu inayosukumwa na umeme.

Wakati watu wao hata maji safi hawayajui.

Hivi Zitto wewe mbunge au si mbunge? Si umesoma uchumi wewe? Ina maana kama unaambiwa ni namna gani ya kuzitumia hizi hela in the most economic way ungeona kuleta Brazil?

Huyu atakuwa yule **** Kikwete tu mwenye kupenda mijezi jezi ya wachezaji soka na miatu atu ya NBA.Akili hamna kutwa kuwaza ngoma na michezo tu utafikiri Mkulu wa madogoli vile.Hiyo FA ya bongo hata haina hela hizo.

Hata kama unasema wewe unapenda michezo, kama hizo hela ungezipeleka katika mashule kuimarisha timu za vijana ungeweza kufanya makubwa sana.In three to five years tayari tungeona mabadiliko katika michezo yetu.

Ila kama kawaida yetui, tuko radhi kuchangia harusi kuuuuuuubwa ya siku moja, halafu baada ya harusi bwana na bibi harusi wanaenda kujibanza kwenye kibanda cha mbavu za mbwa.Ili mradi na wao waonekane kwamba wapo duniani kwa siku moja.

Tuko tayari kumlipa mgeni hela nyiiingi, wakati watu wetu wanakufa njaa.

It is ironic that the two countries Brazil will play in are Tanzania and Zimbabwe, that says a lot about our state of affairs.Ina maana tunaenda ki-Mugabe Mugabe tu, presidaa anatoa mihela kwenye state coffers, hamna anayeuliza wala kujua mpaka after the fact, $ 6 million. Akiweza kufanya hivi katika kuleta timu ya soka kipi kitamzuia kufanya hivyo hivyo na kupeleka mihela Uswizi?

Halafu wabunge wa upinzani nao wanashabikia upuuzi huu. Wabunge wasomi eti.

Pumbaf kabisa.
 
IT IS THE BEST IDEA BECAUSE IF WE PLAY WELL AGAINST THEM OUR NATIONAL TEAM WILL IMPROVE ITS IMAGE IN WORLD SOCCER,IF ANY MONEY WAS USED,THE GAME WILL PAY BACK INCLUDING :target: FROM THE EXPENSES THAT THEIR TEAM WILL PAY WHILE IN THE COUNTRY.

Wewew hujui usemalo, Brazil watatumia $ 6 m sio? If anything kuwapatia ulinzi na mazagazaga mengine zitatukost another couple of million dollars.
 
Viongozi wetu vilaza kweli! SUPER BOWL AD inacost $2.5 mill for 30 seconds! kwa hiyo wangeweza kuweka matangazo mawili kama ni $6 million!
Nationwide Ad ni kama $100,000 kwa vipindi vya kawaida na much less kwa local au late night TV.

Na mechi ya mpira inaitangazaje nchi exactly? Sijawahi kuangalia friendly match nikajikuta nataka kutembelea nchi!

Kuna matangazo ya nchi yatarushwa? Na je wana makubaliano na international broadcasters kuwa nao watayarusha hayo matangazo?

Kwenye mechi ya mpira maximum kuna chance 3 za kuonyesha tangazo, mwanzo, halftime na mwisho. Je kwa matangazo matatu ni sawa kulipa "sevela million"?
Kwa $3 million wangeweza kurusha matangazo 30 nationwide marekani! Na je ni watu wangapi kwenye target market ya watalii wa Tanzania itaangalia mechi kati ya Tz na Brazil? Tena kwa sababu za time difference watu wengi duniani hawatakuwa wanaangalia hii mechi.

Sioni itatangaza vipi Tanzania hii mechi!! Huge waste of money! Tena inaonekana hawana makubaliano nani anatakiwa kucheza kwenye mechi, tutapangiwa timu-B maana hawataki kurisk injury hawa wabrazil.
 
Heeee, kumbe kuna watu humu walidhani kuwa Brazil ingekuja tu bila gharama zozote zile kutoka Tz, mbona hayo mawazo ni finyu sana. Unategemea ile timu iliyoundwa na mastaa namna ile ingekuja tu kuuza sura hapo bongo bila malipo, wenzetu kila wachezaji wao wanapogusa mpira wanalipwa na sio kujifurahisha tu, level waliofikia ni kubwa kiasi kwamba gharama za kuwalipa kila wanapocheza ni kubwa. Suala la hilo game kuwa expensive na zimeweza kupatikana hizo "several dollars" inaonyesha kuwa tunao pia uwezo wa kushughulikia matatizo mbalimbali coz pesa zipo ila zinatumika kiholela tu na wanacnhi hawajui. Nchi ina hali mbaya mfano hizi hospitali nyingi wakina mama wajawazito wanalala chini, hakuna mchakato wowote wa makusudi kama huu uliofanyika ili kutatua tatizo hilo.... kwa ujumla ni kwamba maisha magumu ni kwako wewe mlala hoi ila kwa fisadi maisha ni mstarehe tu, hawaumizwi kichwa na matatizo ya wananchi coz wao wanakula na kushiba.
 
Tembelea hapa uone mtoto anakosa tiba mpaka anadungwa sindano YA PUNDA na kufa. Nadhani Tz kadhia zinazofanana na hii zipo nyingi tu.

Watu kaa nyie wenye fikra duni DNA zenu zina kansa mnatakiwa mpigwa risasi MPOTEE kwene uso wa dunia.

Anyway thank you kama Umeona DNA yangu kansa but i think tanzania inahitaji watu wenye kansa yenye akili kama mimi maana wenye DNA sahihi i wote ndo hivyo . hahahaha

Sasa kwa kuwa mtoto anakosa tiba utasema tusiwe na Wizara ya utamadanuni na michezo? Tusiwe na wizara ya habari??
In short badala ya kuhaingaka kuwapeleka watoto wa mbulu shule za kusoma physics na chemistry tulitakiwa tuwe na shule za kukimbia kule meru na mbulu. Wakati wenzake wa dar wanasoma Archmedes priciple yeye wa mbulu angekuwa anakula tizi la kukimbiz upepo.

nimetoa mfano huu
Kuna njia nyingi zimetumika na zinatumika kuitangza tanzania amabzo sio Feasible.Mfano unatangaza tanzania kwa kulipa matangazo ya kwenye mabasi yaliyopo heathrow. Nani anayaona haoyo matangazo. wasafiri amabo tayari washapanga safari zao ??

Anyway mimi sioni Tatizo Kwa brazil kulipwa hela hizo kucheza sababu najua kuna hela nyingi zaidi ya hizo zimetumika vibaaya kuitanganza tanzania.
Suala la wototo ,wazazi ,wazee na watu wote kupata tiba bora ni la muhimu but that is anter subject.Kwangu Binafsi naona it is FEASIBLE.

tatizo sio Kuwaleta Brazil tatizo ni kutumia resources ndogo tulizonazo vizuri. Nina hakika Gharama ya brazil na faida ya kuja kwa brazil ni feasible zaidi kuliko njia nyingi zilizotumika kuitangaza tanzania au kuendeleza michezo.
 
Enh! Raha ya kuwaona the selecao mlizani boju!! Na kwa taarifa yenu kuwaona live magraundini taifa ni kiama, kwanza laki mbili kwa wale wa juu then kwa sie ndugu makabwela ni buku thelathini(pango la chumba kwa mwezi) iwepo kamili ndo utajitoma kwa raha zako. Mie nafwaa!
 
Viongozi wetu vilaza kweli! SUPER BOWL AD inacost $2.5 mill for 30 seconds! kwa hiyo wangeweza kuweka matangazo mawili kama ni $6 million!
Nationwide Ad ni kama $100,000 kwa vipindi vya kawaida na much less kwa local au late night TV.

Na mechi ya mpira inaitangazaje nchi exactly? Sijawahi kuangalia friendly match nikajikuta nataka kutembelea nchi!

Kuna matangazo ya nchi yatarushwa? Na je wana makubaliano na international broadcasters kuwa nao watayarusha hayo matangazo?

Kwenye mechi ya mpira maximum kuna chance 3 za kuonyesha tangazo, mwanzo, halftime na mwisho. Je kwa matangazo matatu ni sawa kulipa "sevela million"?
Kwa $3 million wangeweza kurusha matangazo 30 nationwide marekani! Na je ni watu wangapi kwenye target market ya watalii wa Tanzania itaangalia mechi kati ya Tz na Brazil? Tena kwa sababu za time difference watu wengi duniani hawatakuwa wanaangalia hii mechi.

Sioni itatangaza vipi Tanzania hii mechi!! Huge waste of money! Tena inaonekana hawana makubaliano nani anatakiwa kucheza kwenye mechi, tutapangiwa timu-B maana hawataki kurisk injury hawa wabrazil.

Mimi nimeshawashtukia, interest yao si kutangaza nchi wala nini, interest ni kuileta Brazil at any cost.

Haya mambo ya kutangaza utalii ni kujikosha tu na kutafuta justification.Kama mkuu Kang alivyosema hapo juu na mimi nilivyosema juu zaidi huko, kama mtu anataka kuitangaza Tanzania (utalii) kuna a lot of other more effective ways of doing it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom