Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
bahati yao (serikali ya JK) kuna uwanja wa kisasa ambao utasaidia kuraise amount of that money...
hivi anayependaa michezo bila miundo mbinu kama viwanja, mpango imara wa kuendelezaa michezo nk na ambaye aliweka miundombinu (ujenzi wa kiwanja cha kisasa barani afrika) tofauti yao ni nn!!!
3bn jamani kwa Tanzania ni hela ambayoo natumai tatizoo la maji dar lingepunguaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Thubutu!
Kwani wao hawali.. kama ni 3bn zimetumika basi ujue mapato hayatazidi 1.bn ukiweka na gharama zingine ziara ya Brazil italighalimu taifa si chini ya 2bn.... I can bet for my head for a big loss!