Duh! Ila wanyaturu ni warembo mpaka basi

Duh! Ila wanyaturu ni warembo mpaka basi

1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
Bila picha ýa kusindikizia hii nyuzi ni kama unakula ugali kwa maziwa ya bata vile
 
nimeishi Singida, binafsi niliona Wambulu na warangi ni warembo kuliko wanyaturu. wanyaturu wazuri uso tu, ila chini makalio hawana, miguu kama chelewa, japo sio wote. pia ni malaya sana, hata akiwa na mimba ukimwomba wewe mtu baki anakupa. hawana taboos sana kwenye mambo ya mapenzi.
In uweupe tu hawana lolote!
 
1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
Aisee,mi naonaga kama wanyiramba ndo wazuri zaidi,au utasema kwa sababu wema sepenga alishakuaga mrembo Wa nchi labda naona kama wote ni hivyo.

Sijajua kama Faraja Kota nae ni mnyaturu,maana nae alishskuwaga mrembo Wa taifa hili enzi hizo.

Ila wanyiramba sidhani kama ni wote, wanawake wana kidole kirefu huko down town.
 
Nyaturu honey
received_816787372468763.jpg
 
1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
Mimi nimeishi Arusha na Manyara zaidi ya 12 years.

Kuanzia ukanda wa Singida, kuja Kateshi, Endasak, Babati, Mbulu kule juu, kurudi Karatu, kuja Magugu, Monduli, Arusha, kupanda Meru kule kwa wameru kuja Moshi Rombo, Marangu aisee wadada ni warembo sana.

Wakija huku Dar ndo wanagundua wao ni warembo lkn kule si twajitafunia tu.

Tall, wamefunga, nywele hadi chini ya tako... kiujumla wako poa sana.
 
Back
Top Bottom