Duh! Ila wanyaturu ni warembo mpaka basi

1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
Ving'amuzi je, vipo!?
 
1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
wanyaturu wa wapi unaowaelezea mzee, wa ilongero, wa ikungi, wa wapi hasa? sisi tunaoishi Singida huwa hatuvioni hivyo unavyovisema, tunakutana tu na miguu ya chelewa, empty headed, weupe sawa na reception sawa ila vingine sitaki kumkosoa Mungu. tuishie tu kusema wanadamu wote wazuri. wewe ni mnyaturu?
 
Nina mda mrefu naishi hapa Singida ,Wanyaturu ni wazuri lakini wanamadhaifu yao Hawa watu hawajui kukataa awe mke wa mtu awe hajaolewa tabia ni ile ile pia wengi wao wamefanyiwa FGM(Female Genital Multilation) Na ukibahatika kuoa kama una uwezo familia yote itahamia kwako
Hiyo ya kuhamia naona ni wanawake wa kisingida wote mwanamke atakusanya ukoo wake wote watajazana kwako wana mambo ya kiwaki sana.
 
wanyaturu wa wapi unaowaelezea mzee, wa ilongero, wa ikungi, wa wapi hasa? sisi tunaoishi Singida huwa hatuvioni hivyo unavyovisema, tunakutana tu na miguu ya chelewa, empty headed, weupe sawa na reception sawa ila vingine sitaki kumkosoa Mungu. tuishie tu kusema wanadamu wote wazuri. wewe ni mnyaturu?
Kale ka usemi "Penye miti hakuna wajenzi" kanahusika hapo.
 
wanyaturu wa wapi unaowaelezea mzee, wa ilongero, wa ikungi, wa wapi hasa? sisi tunaoishi Singida huwa hatuvioni hivyo unavyovisema, tunakutana tu na miguu ya chelewa, empty headed, weupe sawa na reception sawa ila vingine sitaki kumkosoa Mungu. tuishie tu kusema wanadamu wote wazuri. wewe ni mnyaturu?
wwnayaturu wanapatikana hasa wapi nataka nije nitembee Singida
 
Mbona hujaweka utamu wa papuchi zao Mkuu!? 😜
1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!

NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
 
Kuna mmoja nimekutana naye pisikal mno nimejarb swaga zote lkn naona kama nimeshindwa dah mtoto mkali mpak moyo unauma
 
Hivi mtoa mada unawajua vizuri wairaqi wewe! Embu jaribu kutembea tembea maeneo ya mbulu,hydom,dongobeshi,dareda na babati afu uje urekebishe uzi wako
 
Mbulu sample
FB_IMG_16277121003318984.jpg
 
Back
Top Bottom