Hahaaaa mkuu, mademu wa Arusha ni watata sana sijapata ona.Muoga sana wewe!
tena unasema tu nipeVipi kuhusu "maji mara moja"
Hawa wengine sio Wanyaturu... Ni wa KudaslamTop ten ya makabila warembo, Dada zangu wachaga mtanisamehe hampo mwenye listView attachment 1654703View attachment 1654704View attachment 1654708View attachment 1654710View attachment 1654712View attachment 1654713View attachment 1654714View attachment 1654715View attachment 1654717View attachment 1654716View attachment 1654719
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kuna ule msemo wanawake wanaogopa sana wanaume wanaojiamini. Wanapenda wanaume wapole ili wawapelekeshe!Hahaaaa mkuu, mademu wa Arusha ni watata sana sijapata ona.
Kuna watoto wengi wa Kimeru niliwakubali sana lakini nikawaacha tu.
Acha porojo wapi picha1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!
NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
tupe mrejesho wanapatikana mkoa gani?1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!
NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
mzee ulifanikiwa?Mim nataka niombe likizo nikapite pite huko mwez mzima..singida..arusha.manyara..babat kule ..kwa wairaq..kondoa..nitafte mtoto m1 wa ajabu
umewahi kuishi singida?Kwa uzuri wao wanyarwanda wakasome
Kaka mme mwenza au!Kaka yake atatoka safari atakuja hapo atakaa kama wiki mbili atarudi nyumbani