MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,528
- 21,812
Mmh!!!?? Huyu ndio mkuu wa kitengo kwenye taasisi ya Serikali ya awamu ya sita??!! Kweli JPM aliona mbali kutimua vyeti feki. BTW umeandika kama upo kwenye hatua za kubalehe.
Naruhusiwa kuweka pre order ya binti yako?Ngoja Nije nizae katoto kakike kaje ofisini kwako ukaombe mzigo nikukomeshe!!!
Yuko field hana lolote😅😅Mmh!!!?? Huyu ndio mkuu wa kitengo kwenye taasisi ya Serikali ya awamu ya sita??!! Kweli JPM aliona mbali kutimua vyeti feki. BTW umeandika kama upo kwenye hatua za kubalehe.
Utakoma. Mnawachokoza waniniWakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Utakua ushazeeka wewe!Naruhusiwa kuweka pre order ya binti yako?
Mimi mwenyewe nitavunja mtu miguu.Ngoja Nije nizae katoto kakike kaje ofisini kwako ukaombe mzigo nikukomeshe!!!
Uzuri sizeeki mainiUtakua ushazeeka wewe!
Hatucheki na kima mkuu,lazima tumfundishe kujiheshimu!Mimi mwenyewe nitavunja mtu miguu.
Kama vipi tushirikiane kwenye hili.
Aaaaah wapi utakuwa kimoko chali tena cha kulazimisha!!!Uzuri sizeeki maini
Hata mim nimewaza hivo 😆Madogo mpo field mnajiita wakuu wa vitengo 😅😅
No ReformsWakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia