Duh hii imekaaje

Duh hii imekaaje

Kama wewe ndo mkuu wa kitengo basi kuna shida sana huko serikalini?
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Utakuwa Shox wewe
 
Umekuwa mkuu wa kitengo unaandika hivi..
Je ungekuwa mkuu wa Divisheni ingekuaje???

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
kwa hio ww ni mkuu wa kitengo huko serikalini
 
Mkuu wa kitengo na bado una akili hizi?
Au ni mkuu wa kitengo cha wala papuchi?
 
wewe ni mkuu wa kitengo mpumbavu sijapata kuona. Ndio maana serikali inataka muwe mnafanya mitihani.
 
Mwandiko ni kama unaruka sambasoti huku unakunya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom