Duh hii imekaaje

Duh hii imekaaje

Kuwa makini mkuu ,ukiwa na kiti Kila mtu anakitaka kukikalia ,watz hutumia Kila njia kukuangusha,weka hisia zako za miwili nje na ofisi utafanikiwa
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Mkuu wa kitengo serikalini huyu! Je bado tunashangazwa na serikali inayofanya madudu kila kukicha!!
 
Sexual predator!

Pumbavu!

20250806_120202.png
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Kwa akili hizi imekuwaje wamekupa kitengo? Au head wa mambo ya mbolea na bayogesi?
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Umeandika kama unakimbizwa
 
Watu kama ww ndo wanafanya huduma zinakuwa mbovu katika ofisi za umma
 
Ngoja Nije nizae katoto kakike kaje ofisini kwako ukaombe mzigo nikukomeshe!!!
Utafanyaje?unataka umtie uhanithi?
Nadhani huyu ndugu ni effect za matatizo ya kupiga bao la mkono muda mrefu🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom