Mkuu wa kitengo serikalini huyu! Je bado tunashangazwa na serikali inayofanya madudu kila kukicha!!Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Unajiuliza hivi waandikavyo ndivyo walivyo? 😀😂😂😂😂😂
Mim angenifanyie vile ningefungwa aseeIla hz ministry watu wanateseka imagine unapigwa Kofi au kuambiwa hivyo
Kwa akili hizi imekuwaje wamekupa kitengo? Au head wa mambo ya mbolea na bayogesi?Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Hahahahah upuuzi mtupu yaaan siwezi vumilia ujinga kama uleMim angenifanyie vile ningefungwa asee
😂😂😂 Kwa kweliMadogo mpo field mnajiita wakuu wa vitengo 😅😅
Umeandika kama unakimbizwaWakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Utafanyaje?unataka umtie uhanithi?Ngoja Nije nizae katoto kakike kaje ofisini kwako ukaombe mzigo nikukomeshe!!!
Nitaleta mrejesho,nitahakikisha baada ya Hilo tukio kikojoleo chake atakiona adui!Utafanyaje?unataka umtie uhanithi?
Nadhani huyu ndugu ni effect za matatizo ya kupiga bao la mkono muda mrefu🤣