shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,157
- 10,357
We utakuja kuwa kazee Ka hovyo!!Uzee uniepuke yaan nyama naiona hii hapa ila ndo siwezi
We utakuja kuwa kazee Ka hovyo!!Uzee uniepuke yaan nyama naiona hii hapa ila ndo siwezi
😂Serikalini
Business kadi
Ukiwa mzee afu unapenda yale mambo unaonekana mzee wa hovyo kumbe ni asili tu!We utakuja kuwa kazee Ka hovyo!!
😂 ila madogo wa field wanavimba kuliko hata maboss zaoMadogo mpo field mnajiita wakuu wa vitengo 😅😅
Ndio shida ya kunywa matap tapWakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Asili wapi kujiendekeza!Ukiwa mzee afu unapenda yale mambo unaonekana mzee wa hovyo kumbe ni asili tu!
Unafanya masihara na Mkuu wa kitengo serikalini weye?
Jamaa kaandika uzi kwa kuweweseka mno...
Hakuna Mkuu wa kitengo hapo!
Uko salama ndugu yangu? Tumepotezana
Ni siku hizi tu mambo yamebadilika zamani hata kama una miaka 73 unaoa binti wa miaka 26 na unakula memaAsili wapi kujiendekeza!
Ila ni mambo ya aibu Sana!
Ila wanawake tuna roho ngumu Sana,kukavutia hisia kababu na unaloa kabisa sio Jambo dogo🤔🤔🤔🤔🤔Ni siku hizi tu mambo yamebadilika zamani hata kama una miaka 73 unaoa binti wa miaka 26 na unakula mema
Si mnasema(ga) mchawi pesaIla wanawake tuna roho ngumu Sana,kukavutia hisia kababu na unaloa kabisa sio Jambo dogo🤔🤔🤔🤔🤔
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.
Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.
Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.
Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.
Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Ndo roho ngumu zenyewe hizo!!Si mnasema(ga) mchawi pesa
Itakuwa uliona ile clip ya mchungaji na makofia yako ya taka taka 😂😂Namakofia yako ya takataka 😆😆
Business card ya udalaliSerikalini
Business kadi
Ee mkuu ni yule pastor 😆Itakuwa uliona ile clip ya mchungaji na makofia yako ya taka taka 😂😂
Bora mdada kuolewa na mzee jamii itakuelewa kwa kiasi flan, kijana wa miaka 29 muoe mmama mwenye 50++ utajua hujuiNdo roho ngumu zenyewe hizo!!
Hata hivyo ni mambo ya aibu!
Unapeleka kazee kakajitambulishe mama yako mwenyewe anakaamkia shikamoo🤓🤓🤓🤓🤓🤓