Duh hii imekaaje

Duh hii imekaaje

Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia
Ndio shida ya kunywa matap tap
 
Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo.

Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili.

Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna hali flani alitakiwa kuja kufanya folowup sasa nikamwambia usihangaike kuja just chukua business card utanipigia tu.

Basi bwana alikuja jana leo akapiga akajitambulisha nikamkumbuka. Ikimbukwe shida yangu ilikuwa nipate namba then niombe mzigo.

Sasa dem analalamika simtafuti tumeongea naye anadisitiza niwe namtafuta sasa yeye ndo anafuatilia

Huyo labda mtego akumalize aliyemtuma achukue kazi yako. 😁
 
Kumbe huko serikalini sikuhizi mna hadi bizinesi kadi au zilikuwepo mi sijui?
 
Ndo roho ngumu zenyewe hizo!!
Hata hivyo ni mambo ya aibu!
Unapeleka kazee kakajitambulishe mama yako mwenyewe anakaamkia shikamoo🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Bora mdada kuolewa na mzee jamii itakuelewa kwa kiasi flan, kijana wa miaka 29 muoe mmama mwenye 50++ utajua hujui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom