The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,146
- 102,828
Wewe ni katika aliyowataja majina mbona unampiga vita sana?we shoga yake nini!?..mbona unamtetea sana..!!..
Wewe ni katika aliyowataja majina mbona unampiga vita sana?we shoga yake nini!?..mbona unamtetea sana..!!..
Ikiwa wewe mwenyewe muanzisha mada hukielewi ulichokiandika unategemea nini?Kama unachangia kwa muktadha wa mada hii basi naamini hukuelewa kabisa nilichoandika.... Hebu chukua muda wako tena usome kwa makini.... Kwa kutulia
Mueleze ukweli au naye anasapoti ukakapoa? Dudubaya ni mzalendo wa kweli ameamua kuweka wazi ili kumuunga mkono mheshimiwa PaulIkiwa wewe mwenyewe muanzisha mada hukielewi ulichokiandika unategemea nini?
Unamponda Konk master kwa kufuatilia mambo ya watu huku wewe pia unakifanya hicho hicho unachokiponda!! umeishiwa hoja na wana huna uwezo wa kujibu hoja,umebaki kujichekesha chekesha hovyo kama punguani.
DUDU BAYA NI SHOGA!Mueleze ukweli au naye anasapoti ukakapoa? Dudubaya ni mzalendo wa kweli ameamua kuweka wazi ili kumuunga mkono mheshimiwa Paul
Mbona sijaona mahali ametetea mashoga? Daah! hizi umezaliwa na ubongo wewe?Mtoa mada linaonekana huyu Jamaa anakuumiza kichwa sana naanza kukutilia mashaka na wewe konk konk konk master oil chafu. Naanza kuhisi na we ni gasho,
Wakapime kama kakosea dudubaya ainde jera kasema, daa mwanaume utatetea mashoga Wa nini bwana kama na wewe si mwemzao??????
Kwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao. Vinasaba hivyo ni kama
> Sauti
> Mavazi
> Umbo
> Tabia
> Urembo
Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi lakini akipita mahali na wengine kumi ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye.
Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme, mjuaji yeye na mkamilifu yeye. Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake.
Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume. Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani. Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo. Ana dalili ya vinasaba vya ushoga.
Godfrey ana tabia zote hizo; kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu. Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili.
Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga. Sasa hivi yuko mitandaoni. What a comeback!
Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika. Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga.
Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini na sio kupayukapayuka tu.
Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
Mzee msumari ulioukalia unakuumiza ebu inuka kunusuru hayo makalio...Mleta mada ni mkurupukaji mzuri sana,kila jambo likiwa ni habari iliyo kwenye chat basi atakimbilia kulianzishia thd bila kulifanyia utafiti ili tu apate attention ya watu,hii sio mara yake ya kwanza kukurupuka,unatetea mashoga unataka tukueleweje?
Subiri mleta mada aje kukuchekea na kulike huu upuuzi wako,ni bora ungeficha ujinga wako kwa kukaa kimya kuliko kuharisha hapa vitu visivyoeleweka,kwa kawaida mtu alifanyalo hudhani kua na wengine hufanya kama afanyavyo yeye,kumbe kukalia misumari ndio kazi yako eeh!Mzee msumari ulioukalia unakuumiza ebu inuka kunusuru hayo makalio...
Mambo vp mrembo?Subiri mleta mada aje kukuchekea na kulike huu upuuzi wako,ni bora ungeficha ujinga wako kwa kukaa kimya kuliko kuharisha hapa vitu visivyoeleweka,kwa kawaida mtu alifanyalo hudhani kua na wengine hufanya kama afanyavyo yeye,kumbe kukalia misumari ndio kazi yako eeh!
Mimi sili uchafu,katafute mwingine uendelee kujitongozesha,ila kama una K endelea kujitongozesh.Mambo vp mrembo?
Acha kutetea vitendo vya ushoga oil chafu konki master acha amfunge paka kengele wengine walishashindwa