Dudubaya ni ngangaripoa?

Dudubaya ni ngangaripoa?

Mshana Jr umekumbana na dhoruba ya MAMBAZ KONK KONKORD MASTER BLACK DIRTY OIL?
Nimekumbana na tufani la upumbavu kwakuwa nilichoandika sio kinachojadiliwa na kushikiwa bango.... Na kwa bahati mbaya sana nawe ukaangukia huko... Pengine umefanya hivyo makusudi kwakuwa tunatofautiana mitizamo ya kisiasa... Kama umetumia sababu hii basi inasikitisha sana.. Sikutaka kukuweka kwenye kundi la wapuuzi ndio maana nikakujibu.... Kwangu mimi WAPUUZI hawajibiwi..!!!!
 
JF ya leo sio ya jana. Ukileta mada humu unajikuta sio hoja inayojadiliwa bali kutokuelewa ndiko kunachukua nafasi. Hakika hii elimu ya vodafasta imetuharibia vijana wetu na ndio hawa tupo nao humu JF.
Dudu Baya ni ngangaripoa hilo halina ubishi. Na bahati yule dada wa majuu ameanza kutiririka.
Uko sahihi Chakaza hebu cheki nilichoandika na kinachojadiliwa hapa... Hii ndio JF tuliyo nayo leo hii... Lakini hatupaswi kuwa na taharuki kwakuwa wakati ni hakimu mzuri.....
 
Wamebaki wapambe wake tu wanachangamsha genge
Kumbe na wewe ni mpambe wa waliotajwa na Konk master eeh? na ulianzisha hii thd kwa chuki yako binafsi tu kwa Oil chafu? umefeli nenda kajipange upya,oil chafu haichafuliwi,Dudubaya kawashika pabaya aisee,mnahangaika kujisafisha kwa kumpakazia,hiyo haisaidii na wala sio solution ya kusafisha waliotajwa.
 
Mbona watu mnakuwa na huruma sana kwa mashoga? Uchuneni bhasi, mbona kwenye jamii kuna Makundi mengi ya watu wanaoteseka, teteeni hao!!
 
Kwa maelezo ya post hii inatia mashaka mtoa post, nadhani umeguswa kwa njia moja au nyingine, sioni lolote baya alilofanya dudubaya, mhe mkuu wa mkoa yeye kahitaji majina, na wengi walimtumia majina kwa sms, dudubaya yeye katumia njia mbadala ya kufikisha majina kwa mhe mkuu wa mkoa. Pia unasema mwanaume anaye lalamika ana vinasaba vya ushoga, wewe hapo ulichokifanya ni nini? si umelalamika? Vinasaba havijamuacha mtu salama, Yajayo yanachekesha
DUDU BAYA NI SHOGA ALIYETUMIA USANII WA KUFICHA USHOGA WAKE KWA KUWATUHUMU WENGINE NI MASHOGA.

HE IS A BRAVE GAY THOUGH.
 
Mbona watu mnakuwa na huruma sana kwa mashoga? Uchuneni bhasi, mbona kwenye jamii kuna Makundi mengi ya watu wanaoteseka, teteeni hao!!
Kama unachangia kwa muktadha wa mada hii basi naamini hukuelewa kabisa nilichoandika.... Hebu chukua muda wako tena usome kwa makini.... Kwa kutulia
 
Kumbe na wewe ni mpambe wa waliotajwa na Konk master eeh? na ulianzisha hii thd kwa chuki yako binafsi tu kwa Oil chafu? umefeli nenda kajipange upya,oil chafu haichafuliwi,Dudubaya kawashika pabaya aisee,mnahangaika kujisafisha kwa kumpakazia,hiyo haisaidii na wala sio solution ya kusafisha waliotajwa.
we shoga yake nini!?..mbona unamtetea sana..!!..
 
tapatalk_1541518938069.jpeg
konk konk konk master
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom