DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

Yap! Nitajinyakulia mwalimu moja ila kazi ya uwalimu nitamwachisha tu. Namfungulia miradi alee watoto tu. DUCE ni chuo cha watoto wa watu maskini, mtu mwenye pesa zenu uwezi poteza muda. Nenda DUCE kwa macho tu ukiwaona utawagundua kwamba hawa choka mbaya.

kwa kuwa mi mwalimu,nishapima uelewa wako,yaan ww hata kuoa hufai nahisi ni adolecent wewe!
 
anaeiponda fani ya ualimu,si ajabu kaishia darasa la saba,xo haelewi anachosema,coz an intellectual cn never argue on such thngs,i hv doubt on that,samahani lakini.
 
Yap! Nitajinyakulia mwalimu moja ila kazi ya uwalimu nitamwachisha tu. Namfungulia miradi alee watoto tu. DUCE ni chuo cha watoto wa watu maskini, mtu mwenye pesa zenu uwezi poteza muda. Nenda DUCE kwa macho tu ukiwaona utawagundua kwamba hawa choka mbaya.
heri unyimwe mali kuliko unyimwe akili.
 
kufanikiwa ktk maisha kunahtaj mamb meng si fani tu amby unayosomea unawez ukachukua hat udaktar fani inayoheshmika na weng tanz lakn ukashindwa kuyamudu kimaisha na ukuachwa na mtanganyka mwenzake tena kwa mbl sana ambaye hata daras la saba halijui.Maish mipango kijana acha ush...ambenga
 
Enzi za mwalimu Walimu walikua wanaheshimika sana.! Huwezi kukuta mtu akitoa lugha kali kwa Mwl akaachwa hivihivi!!
 
kufanikiwa ktk maisha kunahtaj mamb meng si fani tu amby unayosomea unawez ukachukua hat udaktar fani inayoheshmika na weng tanz lakn ukashindwa kuyamudu kimaisha na ukuachwa na mtanganyka mwenzake tena kwa mbl sana ambaye hata daras la saba halijui.Maish mipango kijana acha ush...ambenga

well said mkuu!
 
Back
Top Bottom