Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
Haswaaa,tumeichagua ki roho safi,mbona mi napenda ualimu jamani.
Poleni sana
Haswaaa,tumeichagua ki roho safi,mbona mi napenda ualimu jamani.
Poa tukutane pale jikoni. Mkopo huwezi kosa review index no yako.! Hapa nilipo now net iko poa sana
Poa basi jaribu jaribu,moyo wang utulie japo hta nikikosa duce nitakuja tu,naomba no 0719362585
Poa Sana itabidi nikucheki on air for more info za jikoni kwetu. Bt Please provide a valid
Index number nikuchekie mkopo hii umekosea jamani mana haileti jibu lolote. Ingekua umekosa tungejua but inaonyesha kuna some errors kwenye index yako Dada LILIAN MK
Benjamin ila ni wa kitambo km miaka 6 iliyopita mdogo angu
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani
Nimesoma(pspa and geography) Duce na kumaliza 2010. Sina hamu na kile chuo japo kuwa kimenifanya niweze kuendana na changamoto za kimaisha. Shida ya duce nyumba tabu hosteri ziko mbali sijui kwa sasa upande wa academic duh! Jamaa wanabana ni noma ila nasikia siku hivi wamepunguza kuna Mama anaitwa VAKOLAVENE .hatari unaweza ju -disco first year.
Kumbe Mzee kabisa halafu unapotosha watu kuwa kuna Baed Science? Hakuna degree ya aina hiyo hapa duniani
Ok. Nitakuchek on air Dada ili unipe hiyo index yako kwa ufasaha zaidi.
jioni uwe unaenda pale barracks kupiga bia kama wenzako wanavyo fanya. mia
Nitakucheki dada LILIAN MK Sikupitia humu muda kidogo. Vipi Ulijaribu Kucheki mkopo wako?