DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

hahahaha,msiogope jamani,things are easy kama umejipanga.kwa wale first year wanaosoma linguistics,karibuni kwenye page yetu in facebook,DUCE LINGUISTICS POINT,you will gain alot of things concerned language.mnakaribishwa sana.
 
Mwaka huu First year DUCE wame disco 23

Be siriazi

Yap! Nitajinyakulia mwalimu moja ila kazi ya uwalimu nitamwachisha tu. Namfungulia miradi alee watoto tu. DUCE ni chuo cha watoto wa watu maskini, mtu mwenye pesa zenu uwezi poteza muda. Nenda DUCE kwa macho tu ukiwaona utawagundua kwamba hawa choka mbaya.

We sijui unafikiri kwa kutumia ma*****

Wakati niko mtaani nilikua nasema naenda kuchukua Degree. Lakini sasa nimeamini Degree haichukuliwi bure.

Bali inatafutwa. Kila kitu kipo kawaida ila ni walimu ndo wanafanya kiwe cha kawaida au cha kutisha.

Karibu DUCE
 
Be siriazi



We sijui unafikiri kwa kutumia ma*****



Bali inatafutwa. Kila kitu kipo kawaida ila ni walimu ndo wanafanya kiwe cha kawaida au cha kutisha.

Karibu DUCE

Do you think I'm joking pal..!? I ain't making no joke.... nenda hata kwa Dean of students utaipata orodha hiyo..
 
Vijana mliofaulu vizuri karibuni sana DUCE family
 
karibuni sana duce familly .changamoto ya pale ni kupata hostel za ndani ya chuo ila unapangiwa mabibo hostel wanapokaa wa main campus au mbagala hostel sema kinachoboa mpaka watu wanachukua mageto ni foleni ya dsm na ukipanga geto ni 50 na kuendelea hii ni kwa sababu chuo kipo uwanja wa taifa...na kuhusu direct cost km utapata asilimia mia utalipa kama 75 tu iv na kusaina bumu na kuendelea kula life as i alwayz did
Vipi mazingira ya mbagala
 
Back
Top Bottom