DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

Nimesoma(pspa and geography) Duce na kumaliza 2010. Sina hamu na kile chuo japo kuwa kimenifanya niweze kuendana na changamoto za kimaisha. Shida ya duce nyumba tabu hosteri ziko mbali sijui kwa sasa upande wa academic duh! Jamaa wanabana ni noma ila nasikia siku hivi wamepunguza kuna Mama anaitwa VAKOLAVENE .hatari unaweza ju -disco first year.

VAKOLANE mama Archiology
 
Msalimie Mangi(mpigakiwi) aka White,mwembeni hapo Geti la upande wa mgulani
 
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani

Usiwe na shaka utakuwa kwenye moja ya halls za pale DUCE ila unalala kwenye sakafu maana full kubebana asubuhi na mapema ukiamka kigodoro unakikunja faster kwenye either unakitupia uvunguni aua unaweka kwa pembeni
 
Napita tu shemeji yenu. fani ya walala hoi. Nikitaka kuoa, nitakuja kujinyakulia kitoto kimoja safiii!!!
 
Usiwe na shaka utakuwa kwenye moja ya halls za pale DUCE ila unalala kwenye sakafu maana full kubebana asubuhi na mapema ukiamka kigodoro unakikunja faster kwenye either unakitupia uvunguni aua unaweka kwa pembeni

Sasa mbona kutishana!! Ila nitajitahidi nizikabili hizi changamoto. Eti itatuchukua muda gani kukamata boom? Ili nijipange kwa pesa ya matumizi
 
Sasa mbona kutishana!! Ila nitajitahidi nizikabili hizi changamoto. Eti itatuchukua muda gani kukamata boom? Ili nijipange kwa pesa ya matumizi

Mara nyingi ukisha sign boom huwa haichukui zaidi ya siku tatu kwa wale wanaosign mwazoni,lakini hii hufanyika baada ya kukamilisha usajili,kwa first year sababu ya process za usajili na orientation ni vizuri ukajiandaa at minimum for two weeks otherwise boom ukisain tu fasta.na mara nyingi huanza kungia pale tu wale wa miaka ya mbele wanapoanza kusaini so mtegemeo ya first year kupata boom may be ikawa kuanzia tarehe 21 na kuendele.CRDB linaingia faster NBC inafuata NMB majanga unaweza sugua hata mwezi
 
Mara nyingi ukisha sign boom huwa haichukui zaidi ya siku tatu kwa wale wanaosign mwazoni,lakini hii hufanyika baada ya kukamilisha usajili,kwa first year sababu ya process za usajili na orientation ni vizuri ukajiandaa at minimum for two weeks otherwise boom ukisain tu fasta.na mara nyingi huanza kungia pale tu wale wa miaka ya mbele wanapoanza kusaini so mtegemeo ya first year kupata boom may be ikawa kuanzia tarehe 21 na kuendele.CRDB linaingia faster NBC inafuata NMB majanga unaweza sugua hata mwezi

Asante sana mkuu kyumana umenijuza mengi.
 
Last edited by a moderator:
hostel za duce ni chache sana,wengi mtapelekwa mabibo hostel au mbagala,ila mnakaribishwa pia off campas kama utashindwa shida za usafiri za huko,ila keep in mind,ukilipia hostel mabibo semester ya kwanza,ni lazima semister ya pili ulipie tena,Keep in ur consideratiom.
 
hostel za duce ni chache sana,wengi mtapelekwa mabibo hostel au mbagala,ila mnakaribishwa pia off campas kama utashindwa shida za usafiri za huko,ila keep in mind,ukilipia hostel mabibo semester ya kwanza,ni lazima semister ya pili ulipie tena,Keep in ur consideratiom.

Poa mkuu
 
kwa hiyo utaenda kuoa mlalahoi
Yap! Nitajinyakulia mwalimu moja ila kazi ya uwalimu nitamwachisha tu. Namfungulia miradi alee watoto tu. DUCE ni chuo cha watoto wa watu maskini, mtu mwenye pesa zenu uwezi poteza muda. Nenda DUCE kwa macho tu ukiwaona utawagundua kwamba hawa choka mbaya.
 
Acha matusi ndugu,najua ukweli unauma. Fani ya ualimu ni moja ya fani hapa Tanzania kwa watu walio poteza matumaini ya kujikwamua.

Hayo ni mawazo yako! UTUACHE NA FANI YETU, eti fani ya walalahoi INAHUU!!!!
 
Back
Top Bottom