DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

msaada.,jinsi ya kupata admission letter kabla ya tar.12!!
 
msaada kuhusu DARUSO na hostel,make naona kwa waliokosa wameambiwa daruso itawasaidia
 
Wana Duce tumepoteana. Ahahahaahaaa kweli shule ngumu!!!
 
hapa ndo kwanza ni mwanzo,bado semina hazijaanza na kutangaziwa test,watu si kupigana vikumbo kwenye kordo,hahahaha!!!
 
Huo ni mtizamo wako! Ulala hoi ni mipango tuu! Pamoja na maneno yako ya dharau, kuna watu tunakula maisha! Women I vijana msichukue maneno ya vilaza kama huyu mkakata tamaa! Bila kujali kozi uliyosoma, una haki ya kufanya kazi yeyote
 
Huo ni mtizamo wako! Ulala hoi ni mipango tuu! Pamoja na maneno yako ya dharau, kuna watu tunakula maisha! Women I vijana msichukue maneno ya vilaza kama huyu mkakata tamaa! Bila kujali kozi uliyosoma, una haki ya kufanya kazi yeyote

Kweli mkuu.
 
Back
Top Bottom