DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

Mpiga msuli nani angekufundisha kama hakungekuwa na walimu. Tafakari kiuepesi tu watoto wako watafundishwa na nani mkuu. Wachache wanaokubali kuwa walimu ni vyema watiwe moyo. Fikiria hatima ya taifa bila walimu bora.
 
Maisha ya DUCE ni ya Changamoto sana! na inapendeza mno maana kama mwanafunzi atalala MABIBO HOSTEL kwa miaka 3 kama mimi, lazima uwe GREAT THINKER
 
wanaduce hoyeeeeee!! time inakata .2kutane uso kwa uso..
 
Poa tutatafutana, uzoefu kidogo upo,na ww utanisaidia pia,ila mkipo cjajua

Poa tukutane pale jikoni. Mkopo huwezi kosa review index no yako.! Hapa nilipo now net iko poa sana
 
Back
Top Bottom