DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

Duce sina imani kama ina hosteli zake zakujitegemea.. Coz nina ndugu yangu yuko pale hajawahi niambia hili swala tangu mwaka wakwanza analalamika bei za vyumba mtaani
 
kama unatoka nje ya dar au pwani nahisi unaweza pata nafasi pale mabibo,hosteli za ndani ya chuo na pia mbagala zipo ni kwa ajili ya chuo,afu kama ukikosa hapo basi hosteli zpo za kutosha kitaani kama keko,kwa aziz ally na maeneo mengine ya temeke
 
Duce njooni tuchange mawazo jins yakuishi ndugu!!!!!

pompoo unaweza ukapata chumba mabibo hosteli unakuwa unapanda gari kila siku nauli 800 ila nakuomba unibebe mie naenda 2nd year ni pm namba yako ya simu
 
pompoo unaweza ukapata chumba mabibo hosteli unakuwa unapanda gari kila siku nauli 800 ila nakuomba unibebe mie naenda 2nd year ni pm namba yako ya simu

Nitakubeba Mkuu SODOKA!! Ngoja nikufuate Pm
 
Last edited by a moderator:
Msidanganywe hostel zipo mfano duce penyewe,mabibo na mbagala hostel na kuhusu msuli hili ndiyo tawi la udsm linalosumbua hivyo kijana wangu issue ni kukomaa 2 maana ukicheza lazima utadisco
 
Ila Hostel ni game tu kuchaguliwa mara nyingi wanaangalia wa2 wanaotoka mikoa ya mbali
 
Msidanganywe hostel zipo mfano duce penyewe,mabibo na mbagala hostel na kuhusu msuli hili ndiyo tawi la udsm linalosumbua hivyo kijana wangu issue ni kukomaa 2 maana ukicheza lazima utadisco

Nashukuru Mkuu!! Wengine nahis hawalijui hili suala la Hostel hapo Duce
 
Nahitaji njia zakupata room hapo jamani
 
Msidanganywe hostel zipo mfano duce penyewe,mabibo na mbagala hostel na kuhusu msuli hili ndiyo tawi la udsm linalosumbua hivyo kijana wangu issue ni kukomaa 2 maana ukicheza lazima utadisco

Wapendwa mm nimechaguliwa MUCE naomba kujua utaratibu kidogo,malazi na vitu vya kuanzia,
 
wakuu, vp kuhusu accomodation fee ni kias gani?

1st semester inaweza ikawa 74,000 na second semester 59,000...uhakika zaidi nitakujuza,msipate wasiwas tupo kaka zenu kuwasaidia kuhusu hilo la kupata rum,uongoz wa DUCE wana ushirikiano sana hasa kuhusu wagen kupata hostel iwe ya chuo au private karibuni sana.
 
1st semester inaweza ikawa 74,000 na second semester 59,000...uhakika zaidi nitakujuza,msipate wasiwas tupo kaka zenu kuwasaidia kuhusu hilo la kupata rum,uongoz wa DUCE wana ushirikiano sana hasa kuhusu wagen kupata hostel iwe ya chuo au private karibuni sana.

Asante Mkuu Chamcham . Kwa hiyo gharama zote mpaka usajili unaisha unaweza kuangukia Tsh ngap?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom