Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,270
- 16,286
- Thread starter
- #61
kila la heri flora....nakutamania yani.
weee ustaman hali tunatimiza wajb tuu lakinii shurba yake!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila la heri flora....nakutamania yani.
pole! Ulishataga?manake huwez kutotoa bila ya kutaga. Nakutakia utotoz mwema
kila la kheri flora,mungu akupe nguvu na uwezo wakujifungua salama,mtoto na ww muwe na afya njema,2po pamoja katk sala dia.
mimi ndo dokta mkuu ktk kitengo cha kutotolesha hapa kilimanjaro hospitalin so see yu later
all the best flora!
Mungu akutangulie kwa kila hatua!
nakuombea shughuli iende salama.
flo sweety.. Kila la heri.. Mwaaah!
yeah ,thanks
you are welcome..
anyway, nimejikuta sijaipenda hii lugha 'kutotoa' imekaa kiudhalilishaji kwa mtazamo wangu..
wishing you luck Sister..
you are welcome..
Anyway, nimejikuta sijaipenda hii lugha 'kutotoa' imekaa kiudhalilishaji kwa mtazamo wangu..
Wishing you luck sister..
I support the motion, mkuu hata mimi hili neno kutotoa linakwaruza kichwani tunaomba mtoa hoja abadili title, ni hiari si lazima japo haiko njema sana.
mbona rejao kagonga like? Ndo babaake greti thinka junior nini?
Utotoe salama aisee, usje ukamuita paw, itakula kwako.
Majina ya PAW wakali sana bana anaweza akaja akakudai urithi bado uko hai. Nikipigwa ban hii post ndio itakuwa sababu. Again nakuombea tena ukapokee ka junior ketu kwa furaha na amani, na lawyer ukiona kamuombea mtu mara mbili ujue kampenda kweli aisee!hahahahahaaa rejao ni mjomba wake wa hiari ila dogo akiwa km huyu mjombaake ntapata taabu sana ubishi tuu!ila hana dalili hata moja ya kurith hizo tabia tangu hapa tumboni! Paw!kwanini unasema nkimwita hivi imekula kwangu!? By the way ubatizo utafanyka papa hapa jeief mola akijaalia nikideliver salmini thanx cloro!
majina ya paw wakali sana bana anaweza akaja akakudai urithi bado uko hai. Nikipigwa ban hii post ndio itakuwa sababu. Again nakuombea tena ukapokee ka junior ketu kwa furaha na amani, na lawyer ukiona kamuombea mtu mara mbili ujue kampenda kweli aisee!
ok lawyer nakushkuru kwa ushauri ngoja nikalaze maana leo kanarusha mateke mwanzomwisho asee nahisi siku zake za kuishi humu zimepita! Thanks na ntamwita paw utake uspende! AMA NTAMWITA KLORO
weee ustaman hali tunatimiza wajb tuu lakinii shurba yake!!!
haaaa pole mpendwa
kama umekereka na lugha hii next time ntatumia ma neno matamu kama kuzaa
hahahah eti kanarusha mateke lol.......kapumzishe mwaya na kenyewe kalale unono!!!