Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
- Thread starter
- #21
hongera na kila la kheri flora. Kila kitu kiende vizuri...
asanteni sana jamani,....
hongera na kila la kheri flora. Kila kitu kiende vizuri...
usijali mungu yupo na wewe,mwamini yeye kwa kila jambo
totoa salama angel..
kabebii kakiume kaje kubatizwa hapa hapa jf au sio?
Mungu atakuwa upande wako na mtarajiwa pia, wote tuseme amen!
sala zetu ziko nawe ..
hahahaha nitakuchagulia jina nzuri sanaasante sn ex af uniyanichagulia na jina la mtoto hahaha!ndo kazi yenu wajomba au sio!?
kabebii kakiume kaje kubatizwa hapa hapa jf au sio?
Mungu atakuwa upande wako na mtarajiwa pia, wote tuseme amen!
hahahaha nitakuchagulia jina nzuri sana
all the best angel , mtoto kama ni dume mwite bucho .
all the best angel , mtoto kama ni dume mwite bucho .
Wandugu leo nipo safarini naelekea kilimanjaro! Kutotoa naombeni dua zenu nitotoe salama na madaktari wasigome!
etii eee so nianze kujiita mama maprosoo sio thanks,ningependa wa kischana lakini,ujue watoto wa kike wanafaida sana!
Mtu mwenyewe Mbaaaaayaaaaa umekaaa kizandizandiki...Hongera sana...kama kidume kiite REJAO!!