Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
- Thread starter
- #81
shughuli pevu hiyo, naiogopa kama nini!! Btw, kila la kheri swaiba......hope utatuletea mwanetu salama!! Be blessed.......
thanks dia, hope soo
shughuli pevu hiyo, naiogopa kama nini!! Btw, kila la kheri swaiba......hope utatuletea mwanetu salama!! Be blessed.......
next time! If god wishes
dah kujifungua ni project inayojitegemea atii,
hongera na kila la kherii dia!
kila la heri kakiwa ke kaite lizzy kama me kaite masanilo
unadhani natania
mara kapige mbav
mara nakaskia huku lol katundu sn
thanks dia, hope soo
etii eee so nianze kujiita mama maprosoo sio thanks,ningependa wa kischana lakini,ujue watoto wa kike wanafaida sana!
jamani wewe......hahahahaaa!!! Kama kamchezo vile lol!
faida gani?
hahahahahahahaaa hapa nasubiria kumcheki dogo maana nahisi atatokea mtaani make anapenda bia huyoo yaani hata bar inabidi niende na kadi ya klinik mweee mmm
Si usubiri ile nyumba ndogo yako ijifungue afu umwite mtoto elizabeth, wenzio wahangaike wewe uje uchague jina. Inahuuuu?Flo,ukijaliwa kabebiboi kaite bishanga abashaija,kakike kaite elizabeth,pliiiiizzzzz!!!
Wandugu leo nipo safarini naelekea kilimanjaro! Kutotoa naombeni dua zenu nitotoe salama na madaktari wasigome!