Kwanini DSTV ni ghali sana?Dstv wameibuka na mtindo wa kutembea na madishi mtaani kuuza.
Jana nikakutana na mdada kachoka kaweka lile liungo chini akiliangalia tu, kuweni na huruma, mdada kutembea siku nzima kabeba liungo si kazi nyepesi,
Hivi kweli katika mbinu zote za kimasoko hii ndo mmeona ndo mbinu ya maana, mmeishiwa kiasi hiki??
Wanazo mbili, TBC na Chanel 10Kwanza hao dstv hawana free channels hata za kibongo pumbafuuu zao
DSTV wamestuka wanamalizwa na Azam TV.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hali ishakuwa mbaya daah...Hao ndo wale wakiamka asubuhi wanajikuna chini badala ya kichwani ...yni wnawaza chini tu
Uzuri wa huko hata malipo nayo ni mazuri mkuu.mtoa mada ungejua wabongo tulioko nje tunavyobeba maboksi mazito hicho kidishi cha DsTV ni kama kubeba simu tu
Pricing yao shidaDSTV wamestuka wanamalizwa na Azam TV.
Unajua ukiwa dar vijana wanakuwa comfortable kiroho, ile akiamka kaona magorofa, hatua mbili lami, mabasi ya mwendo kasi, akipigiwa simu ajibu aliempigia niko dar, facebook status kaandika living in Dar es salaam Tanzania!
Hii mentality imefanya dar iwe sehem ambako unaweza pata cheap labour kuliko mikoani. Watu wanatumikishwa heavyly na kulipwa kiduchu na hawataki kutoka kisa tu Jiji la Dar es salaam.