omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,687
Daah nimechekea kijinga hii post...... hivi watu mna wazaga nini....?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kama hajavunja ungo ni haki yake kubeba ungo
Daah nimechekea kijinga hii post...... hivi watu mna wazaga nini....?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kama hajavunja ungo ni haki yake kubeba ungo
Na mwaka huu habari kubwa ni kombe la dunia ambalo wengi tu wanaonesha, itabidi wabadili gia angani, lasivyo wataumia.DSTV wamestuka wanamalizwa na Azam TV.
Kwa hyo wakipata EPL watakuwa na bei hyo hyo? Mechi za mchangani tu wanachaji juu kuliko Dstv kwny package nyingine. Sisi tunaendelea kutesa na DstvKwa akili umefikiri na kuona Hawalipwi?
Azam sh ngapi kwa mwezi?Mimi hao niliishaachana nao. Be zao ni ghali. Wapunguze gharama zao zilingane na Azam.
Hivi Azam wana nini?Ukiacha Premier League ya UK hawana kitu DSTV.
Yaani wewe kichwa chako ndio bure kabisa, sijui unataka uonekane unatumia social media!Mkuu huyu mtoa mada ndio aina ya vijana wa kitanzania yaani kichwani ni zero hata kujenga hoja hawajui wao kila ujinga wanaouona wanapost hapa jf ilimradi na wao waonekane wanatumia social media
Huna uzoefu na huduma bora wewe!Dstv ni Mwamba Kwa kweli nawashangaa wanaoifananisha na Azam Ni kukosa Adabu.
Nyie watu mnachekesha sana. Ulisikia "haki" za kuonyesha EPL msimu 2018/19-21 walinunua Sky Sports na BT sports kwa pounds ngapi?Tatizo lao bei zao na kipato chetu haviendani kabisa! Siku Azam wanapata haki EPL biashara ya dstv kwaheri
Niambie ni Operator gani wa Tv hapa Tanzania anatoa huduma nzuri, options za channels bora kama DsTv?Huna uzoefu na huduma bora wewe!