Dstv mnawatesa vijana wenu wa mauzo

Dstv mnawatesa vijana wenu wa mauzo

Kuna maeneo yenye coverage nzuri ya mtandao. Hakika TV Box sio tishio kwa DSTV tu, ni operator wote wa TV duniani.
NI kweli. Nchi zenye internet speed nzuri hawa Internet providers wameongezea na services za IPTV. Huku tuondeko ndio itakayotawala.
 
"Wapunguze bei ya vifurushi waone kama watalazimika kujitwisha madishi mitaani"
 
Nasikia TIDO ameifatilia sana lakini dau kubwa..
Super Sports wanalipa hela nyingi sana kupata hii exclusivity ya kuonyesha EPL..
Na ndio pekee kinachoibeba DSTV ni EPL tu.
Itafika mahali itaachia maana kama wanalipa hela nyingi halafu wateja hamna unategemea nini .hawawezi survive
 
Anakuja kwese sports alieinunua tv1 yule pia ana visimbusi vyake na atakuwa akionyesha EPL na world cup...ushindani utaongezeka
 
Mi nawahurumia wadada wanaouza line n.a. vocha za halotel mitaani wengi wamegeuka watembeza mbunye
 
Dstv wameibuka na mtindo wa kutembea na madishi mtaani kuuza.

Jana nikakutana na mdada kachoka kaweka lile liungo chini akiliangalia tu, kuweni na huruma, mdada kutembea siku nzima kabeba liungo si kazi nyepesi,

Hivi kweli katika mbinu zote za kimasoko hii ndo mmeona ndo mbinu ya maana, mmeishiwa kiasi hiki??
"don't work for money, let money work for you" poor dad rich dad.. .. ukifanya kazi ili upate pesa ulipe bills zako kubeba hayo madish kunakuhusu sana, huyo mdada akijitambua ndo itajulikana
 
Wamekuwa kama wamachinga...pale survey kituoni unawakuta wanakimbilia magari kama wanauza diamond karanga
 
Nyie watu mnachekesha sana. Ulisikia "haki" za kuonyesha EPL msimu 2018/19-21 walinunua Sky Sports na BT sports kwa pounds ngapi?

Hivi unadhani Azam atakuonyesha EPL kwa hiyo Tsh.18,000 unayolipa sasa?

Be informed brother, EPL rights are over the moon.
Mkuu Canal+ tunalipa Burundi kwa 40'000/= Azam tv wakinunua wakafanya 30'000/= utakuwa sawa na 69'000/=???
 
Mkuu Canal+ tunalipa Burundi kwa 40'000/= Azam tv wakinunua wakafanya 30'000/= utakuwa sawa na 69'000/=???
Umesema Burundi, hata DsTv SA ni cheaper kuliko hapa, jiulize nini kinafanya kwetu iwe ghali kuliko nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom