Dr. Wilbroad Slaa yuko wapi?

Dr. Wilbroad Slaa yuko wapi?

Hizi siasa za kuzungusha mikono badala ya sera zimewaharibu watu, hivi kutokubalina Na Lowassa ni Ulimbukeni?

nani amekudanganya slaa hakubaliani na Lowasa? pesa alizohongwa na ccm ndio zilimbadilisha akili,,,
 
Hatatokea kama Dr Slaa tena Chadema. Amejenga chama kutoka chama cha familia akajitahidi kukipush kwa wananchi na kukipa muonekano wa kitaifa. Japo lilikuwa gumu kueleweka na wenye chama ila alijitahidi sana.

Dr Slaa alijitahidi kuibadilisha chadema kuwa na ajenda inayoeleweka na wananchi ya ufisadi na akafanikiwa kubadili mindset za watu kuhusu nchi yao wakajitambua.

Dr Slaa ndio shujaa pekee ndani ya Chadema aliyepishana na pesa za mafisadi, yeye alisema kama mnaona pesa ndio za maana yeye anajiweka pembeni, hakukubali kukaa meza moja na wezi ili kuwatapeli wananchi.

Dr Slaa dunia itamkumbuka kwa kusimamia ukweli ata kama amesimama peke yake.

Mungu ambaliki sana Dr Slaa amalize masomo yake vyema aje atusaidie kwenye mabadiliko ya kweli sio ya kuzungusha mikono.
 
Makamanda,
alipo Dr Slaa hapako siri Wala hapajawahi kuwa Siri. Nilipowaaga Watanzania kupitia Azam TV na baadaye STarTV niliwaambia Watanzania kuwa ninaenda Sabbatical Leave. Nitatumia wakati huo kurudi shule, kujikumbusha mambo mbali mbali mapya katika maeneo yangu ya Masomo. Mwanzoni nilifikiria kuanza na masomo ya Sheria. Hata hivyo nimeanza na masomo ya Psychotherapy na Psychoanalysis. Kwa wale wanaojua Branches mbalimbali ya Falsafa ( Philosophia) watakumbuka kuwa nilisoma Psychology kama sehemu ya Masomo yangu ya Falsafa Seminari Kuu ya Kibosho. Sasa nimeona niingie kwa undani zaidi, kufahamu zaidi Tabia na mfumo wa akili ya Binadamu unavyofanya Kazi. Hadi sasa nimekwisha kuingia kwenye Module insyodeal na Cognitive Therapy, Strategic Family Therapy, Brief Therapy.

Wapenzi wangu nawaomba watulie tu. Kama nilivyowaambia Nimeachana na Active Party Politics, walidhani maana ya kauli hiyo ni kufunga Mdomo. Nilisema pale patakapohitaji kupiga kelele nitapiga kelele kupinga uonevu wa aina yeyote, kupinga ufisadi wa aina yeyote. Nitasimamia misingi yote muhimu katika Taifa langu kwa kutumia haki zangu za Kikatiba ( ikiwa ni pamoja na kusimamia uchumi wa Taifa letu.

Tupo pamoja Dr. Waliokuzunguka kisha wakakusaliti malipo yao hayapo mbali Mungu atawaumbua.

Mbowe kauza chama kwa mafisadi.
 
Makamanda,
alipo Dr Slaa hapako siri Wala hapajawahi kuwa Siri. Nilipowaaga Watanzania kupitia Azam TV na baadaye STarTV niliwaambia Watanzania kuwa ninaenda Sabbatical Leave. Nitatumia wakati huo kurudi shule, kujikumbusha mambo mbali mbali mapya katika maeneo yangu ya Masomo. Mwanzoni nilifikiria kuanza na masomo ya Sheria. Hata hivyo nimeanza na masomo ya Psychotherapy na Psychoanalysis. Kwa wale wanaojua Branches mbalimbali ya Falsafa ( Philosophia) watakumbuka kuwa nilisoma Psychology kama sehemu ya Masomo yangu ya Falsafa Seminari Kuu ya Kibosho. Sasa nimeona niingie kwa undani zaidi, kufahamu zaidi Tabia na mfumo wa akili ya Binadamu unavyofanya Kazi. Hadi sasa nimekwisha kuingia kwenye Module insyodeal na Cognitive Therapy, Strategic Family Therapy, Brief Therapy.

Wapenzi wangu nawaomba watulie tu. Kama nilivyowaambia Nimeachana na Active Party Politics, walidhani maana ya kauli hiyo ni kufunga Mdomo. Nilisema pale patakapohitaji kupiga kelele nitapiga kelele kupinga uonevu wa aina yeyote, kupinga ufisadi wa aina yeyote. Nitasimamia misingi yote muhimu katika Taifa langu kwa kutumia haki zangu za Kikatiba ( ikiwa ni pamoja na kusimamia uchumi wa Taifa letu.
yaani kati ya watu ambao sitaki kuwasikia masikioni mwangu ni wewe mzee na lipumba. mmeonyesha mfano mzuri sana wa neno "usaliti" na vizazi vyote mbeleni vitawakumbuka.
 
Makamanda,
alipo Dr Slaa hapako siri Wala hapajawahi kuwa Siri. Nilipowaaga Watanzania kupitia Azam TV na baadaye STarTV niliwaambia Watanzania kuwa ninaenda Sabbatical Leave. Nitatumia wakati huo kurudi shule, kujikumbusha mambo mbali mbali mapya katika maeneo yangu ya Masomo. Mwanzoni nilifikiria kuanza na masomo ya Sheria. Hata hivyo nimeanza na masomo ya Psychotherapy na Psychoanalysis. Kwa wale wanaojua Branches mbalimbali ya Falsafa ( Philosophia) watakumbuka kuwa nilisoma Psychology kama sehemu ya Masomo yangu ya Falsafa Seminari Kuu ya Kibosho. Sasa nimeona niingie kwa undani zaidi, kufahamu zaidi Tabia na mfumo wa akili ya Binadamu unavyofanya Kazi. Hadi sasa nimekwisha kuingia kwenye Module insyodeal na Cognitive Therapy, Strategic Family Therapy, Brief Therapy.

Wapenzi wangu nawaomba watulie tu. Kama nilivyowaambia Nimeachana na Active Party Politics, walidhani maana ya kauli hiyo ni kufunga Mdomo. Nilisema pale patakapohitaji kupiga kelele nitapiga kelele kupinga uonevu wa aina yeyote, kupinga ufisadi wa aina yeyote. Nitasimamia misingi yote muhimu katika Taifa langu kwa kutumia haki zangu za Kikatiba ( ikiwa ni pamoja na kusimamia uchumi wa Taifa letu.

kwani na wewe bado ni kamanda?

na vipi uamuzi wa kufungua hospital au shule umefikia wapi kwa zile pesa ulizopewa na marafiki zako?
 
Ni siku nyingi zimepita tangu hekaheka za uchaguzi mkuu 2015 sijamsikia kabisa aliekua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2010 Dr. Wilbrod Slaa.

Kwa mnaofahamu tujuzeni yupo wapi? Je kujitoa kwake CHADEMA ndio kumempoteza? Je kuna chombo chochote cha habar kimewahi kumtafuta na kumuuliza maoni yake juu ya utendaji wa serikali ya awamu ya tano? Kama ndio maoni yake nia yapi?.
 
Dr Slaa alikuwa ni the most genuine patriotic politician kwa kipindi cha miaka ya 2000-2015, huyu jamaa ni moja kati ya wanasiasa ambao mchezo wa siasa wali uelewa na waliuweza. Na aliheshimika na kila mtu.

Of coz kuhusu sasa sidhani kama atakuwa ana furahia yanayo endela nchini, lakini pia kama angekuwepo Wapinzani wasinge kuwa kama walivo sasa kipindi hiki cha crisis. Toka aondoke hakuna aliye wezanl kuvaa buti yake.
 
Aliacha kaelezea "asset and liability" akaenda zake kula mihogo ya majuu akiwa na my first lady wake. Kwa hiyo ndo hivyo na vitu kama shuntama na kula bataz. You know
 
Inasemekana yupo Canada kwa Masomo.Rafiki zake wameamua kumfadhili ili apumzishe ubongo baada ya Chama chake kutokumpendekeza kugombea Urais.
 
Ni siku nyingi zimepita tangu hekaheka za uchaguzi mkuu 2015 sijamsikia kabisa aliekua mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema mwaka 2010 Dr. Wilbrod Slaa. kwa mnaofahamu tujuzeni yupo wapi? Je kujitoa kwake Chadema ndio kumempoteza? Je kuna chombo chochote cha habar kimewahi kumtafuta na kumuuliza maoni yake juu ya utendaji wa serikali ya awamu ya tano? kama ndio maoni yake nia yapi?.

Ngoja ziishe utamsikia!
 
Back
Top Bottom