Mzee ulisema 2010 ulishinda ila tu haukutangazwa, Je endapo CHADEMA ingekusimamisha mwaka huu - unatuamisha sisi wapenzi wako kwamba ungeshinda tena ila safari hii ungetangazwa mshindi na kuapishwa?.Majibu ya Dr Slaa
Wapenzi wangu nawaomba watulie tu. Kama nilivyowaambia Nimeachana na Active Party Politics, walidhani maana ya kauli hiyo ni kufunga Mdomo.
===============================
Mwisho, je tutegemee lini -comeback yako kwenye Active policits? je utakujaje kujaje?