Atarudi Bongo kuomba msamaha arudi kwenye nafasi yake ChademaLikiisha sijui atakula nini?
Bado unaamini chadema ni tahasisi?Atarudi Bongo kuomba msamaha arudi kwenye nafasi yake Chadema
Haaaahaaaaaa ccm bhana Dr.slaa alipokuwa chadema mbona mlimuita padri mzinifu sijui anatembea na mke mwenye size ya kuwa binti yake mara cjui chama kimemshinda toka lini leo hii amekuwa mzuri kwenu na nyie ndio mnafanya watu waamini mlimtumia kutaka kuibomoa UKAWA maana toka aondoke wana ccm wanamuita shujaa na mpinzani wa kweli. Ccm muache unafki mkae kimya mkiwa mnamtetea ndio mnazidi kufanya watanzania waamini mnamtumia.Bavicha mmeamua kuondoa stress kwa kuelekeza makombora kwa mzee wa watu.Bila ya sababu mtu kafungua thread anauliza Mzee alipo kama vile amezaliwa jana,na manyumbu yanaunga tela.Muacheni afanye yake mbona yeye hawachokonoi chadema?
Hivi Slaa akiamua kuwaandama chadema atabaki mtu humu?
Hii inaonesha mme mmiss sana,mtapata tabu sana kumpata KM wa aina ya Slaa.
Mara ya mwisho alikua anakula mihogo kwa wazungu uko wa dunia ya kwanza.
Hivi hujui hata shetani alikuwa malaika before?? so Mungu asimtupe motoni kisa alikuwa kiongozi wa malaika wengine mbinguni??engineer aliyeshirikiana na kina zitto na kuwafanya Vijana wa kileo kufatilia siasa na Hata kuipenda chadema
Hamna mkuu wengi uliowataja hapo walikuwa wapinzani wa kweli sema wakati wa migogoro kwenye vyama vyao ndio ccm inaweza ingilia ikasupport upande mmoja ili kuua hiko chama kwa dhana ya AN ENEMY OF YOUR ENEMY IS YOUR FRIEND. I believe slaa na lipumba wote walikuwa wapinzani wa kwei wakati wanaanza sema kwenye migogoro wakaona waombe support ya nje kummaliza adui wao wa ndani so kipimo cha mwanasiasa wa kweli asiyekubali kutumika ni wakati wa migogoro ndani ya chama.Tangu wale 'jamaa' wamfiche pale hotel ya Serena, kwa kweli sina imani nae sana.Na bahati mbaya hata aliyevujisha zile picha alipoteza ajira yake!Najiuliza alibadilika au ndivyo alivyokuwa? Sitaki kusema kuhusu Propesa Lipumba!
Ilinifanya pia nitafakari sana kuhusu ule 'waraka' uliowaondoa kina Mwigamba, Zitto, Kitila etc pale CDM....kuna mtu hakutajwa/alifichwa na ni kama vile waandaji wa huo waraka walikula yamini kutokumtaja huyo ambaye hakutajwa!
Natafkari pia vyama vya 'upinzani' kwa ujumla na kujiuliza hawa tunaodhani au kuaminishwa ni wapinzani ni kweli wapinzani au wapo/wanaongoza vyama vya upinzani kama sehemu ya 'kazi yao maalumu'? Nikiwaangalia kina Lyatonga, Lipumba, Maalim Sief, Slaa, Mbowe, Lowassa na wengine...kwa kweli kuna nyakati huwa napata mashaka sana na wote hawa kwa sababu mbalimbali.
duuh kumbe dr slaa hakuhusika kwenye kikao cha kumuingiza lowassa chadema??? kumbe dr slaa hakukubali lowassa awe mgombea urais?? tuacheni unafki watanzania hakuna cha usaliti wa mbowe ama laah kikao kilifanyika na kamati kuu ikaja na sauti moja ndio maana hukutokea mgawanyiko hta dr slaa alipoondoka. Yeye slaa alishakubali lowasa kuwa raisi sema mke akakataa yye akaona familia isigombane kisa siasa so akajiuzulu siasa full stop. Hayo mengine ni porojo tu za magazetini ila ukweli anaujua slaa na mke wake wa kwanni amehama chademaWe ndo nyumbu kabisa, kati ya Mbowe na Dr Slaa nani msaliti!
Dr Slaa alisimamia kauli yake, na huo ndo msimamo wa mwanaume anayejielewa
Rudi maktaba usome tena kauli za Mbowe na ufisadi na mafisadi ndo utajielewa
Kila jambo na wakati wake, kila falme na kitabu chakeNi siku nyingi zimepita tangu hekaheka za uchaguzi mkuu 2015 sijamsikia kabisa aliekua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2010 Dr. Wilbrod Slaa.
Kwa mnaofahamu tujuzeni yupo wapi? Je kujitoa kwake CHADEMA ndio kumempoteza? Je kuna chombo chochote cha habar kimewahi kumtafuta na kumuuliza maoni yake juu ya utendaji wa serikali ya awamu ya tano? Kama ndio maoni yake nia yapi?.
Hapa kwenye picha wewe ndio yupiWe jamaa unatema pumba kweli, kwanza slaa ni msaliti, hatutaki wasaliti sisi, yeye mwenyewe ampokee lowassa halafu eti anajiuzulu, mnafiki sana yule.
Nimesoma hapa nikakumbuka ule msemo.....NYANI HAONI KUNDULE! !!!!Tangu wale 'jamaa' wamfiche pale hotel ya Serena, kwa kweli sina imani nae sana.Na bahati mbaya hata aliyevujisha zile picha alipoteza ajira yake!Najiuliza alibadilika au ndivyo alivyokuwa? Sitaki kusema kuhusu Propesa Lipumba!
Ilinifanya pia nitafakari sana kuhusu ule 'waraka' uliowaondoa kina Mwigamba, Zitto, Kitila etc pale CDM....kuna mtu hakutajwa/alifichwa na ni kama vile waandaji wa huo waraka walikula yamini kutokumtaja huyo ambaye hakutajwa!
Natafkari pia vyama vya 'upinzani' kwa ujumla na kujiuliza hawa tunaodhani au kuaminishwa ni wapinzani ni kweli wapinzani au wapo/wanaongoza vyama vya upinzani kama sehemu ya 'kazi yao maalumu'? Nikiwaangalia kina Lyatonga, Lipumba, Maalim Sief, Slaa, Mbowe, Lowassa na wengine...kwa kweli kuna nyakati huwa napata mashaka sana na wote hawa kwa sababu mbalimbali.
Dr Slaa alikuwa ni the most genuine patriotic politician kwa kipindi cha miaka ya 2000-2015, huyu jamaa ni moja kati ya wanasiasa ambao mchezo wa siasa wali uelewa na waliuweza. Na aliheshimika na kila mtu.
Of coz kuhusu sasa sidhani kama atakuwa ana furahia yanayo endela nchini, lakini pia kama angekuwepo Wapinzani wasinge kuwa kama walivo sasa kipindi hiki cha crisis. Toka aondoke hakuna aliye wezanl kuvaa buti yake.