imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
- Thread starter
- #621
Afrikanize Uislamu Quruani na Vitabu vyote viandikwe Kiswahili na Lugha nyingine za Kiafrika.
Azana ya kuitana kuswali iwe ta Kiswahili au iwe kwa Kengele au Alarm.
Badala ya Wanawake wetu kuvaa Hijabu wawe wanavaa Vitenge na Khanga za aina mbali mbali.
Tutakuwa tumejikomboa kifikra kwa kiasi kikubwa.
Vazi la Burka lipigwe marufuku kabisa katika Nchi za Kiafrika.
KATIBA ISEME WAZI KUWA KIONGOZI WA JUU KAMA RAISI ASIRUHUSIWE KUVAA "RELIGIOUS SYMBOLS" HIJABU AU BARAGHASHIA KWASABABU SERIKALI YETU NI SECULAR.
Azana ya kuitana kuswali iwe ta Kiswahili au iwe kwa Kengele au Alarm.
Badala ya Wanawake wetu kuvaa Hijabu wawe wanavaa Vitenge na Khanga za aina mbali mbali.
Tutakuwa tumejikomboa kifikra kwa kiasi kikubwa.
Vazi la Burka lipigwe marufuku kabisa katika Nchi za Kiafrika.
KATIBA ISEME WAZI KUWA KIONGOZI WA JUU KAMA RAISI ASIRUHUSIWE KUVAA "RELIGIOUS SYMBOLS" HIJABU AU BARAGHASHIA KWASABABU SERIKALI YETU NI SECULAR.