"serikali haishindwi kitu bwana, hata iwe ni kinyume na matakwa ya walioiweka madarakani pamoja na kukiuka viapo"Nashkuru kwa taarifa............kuna kundi la wapuuzi hawataki kusikia taarifa kama hizi
Wabongo bana, so ndugu zetu wanaondelea kufa kutokana na mgomo wa akina Ulimboka hawana haki ya kuishi ama, mimi simuonei huruma huyu jamaa honestly, mgomo wao unawaumiza ndugu zetu sana, na simuombei kupona.