Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Habari mbaya sana hizi kwa mashetani wenzangu wa MABWEPANDE, mbona tunaumbuka hivi!? kila tunachogusa hakifanikiwi?? moja inagoma mbili haikai?? tuna laana ya watanzania nini!? mipango yote inavurugika why!!?'?
Laana ni kwa wale wauwaji wa Mabwepande kina Insp Msangi na wenzake, naona kuna haja jamaa aanze ku record kila kitu for records ili hata ikitokea lolote tunaweza kwenda nacho The Hague kama ushahidi!!!!

 
Asante Yesu Kristo wa Nazareti uliye hai. Unastahili kuabudiwa na kushukuriwa. Endelea baba kumkumbatia Dr. Uli tuje kuonana naye tena akiwa mwenye afya njema. Shetani amejinyea. Hana mamlaka kabisa kwa watu wa Mungu. Laiti wafuasi wake - Serikali wangejua maana ya jina la Ulimboka wasicheza naye! nawaonea huruma kwani wamechanganyikiwa sasa wanaendelea kulikoroga.
Madaktari, msiogope hao serikali sasa hivi vurugu tupu, hakuna kinachoeleweka bali 'confusion' kibao. Na hao Waislamu wanaotaka kushitaki madaktari wametumwa? kwanza wanawashitaki kwa kipengele/mkataba gani au wamepagawa! na wenyewe ni DHAIFU hawajui walitendalo - 'shame upon them'. 'Aluta continuaaaaa'
 
asante Mungu.nawashauri wanaotumwa kufanya dhambi kama hizi na nyingine kwa hao wanaojiita system wachanganye akili zao na za hao wanaowatuma.mambo ya kila kitu yes kama manunda waache.dhambi hii itawatafuna na vizazi vyao.maana mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Hari ya Dr. Olimboka aluyeko A. Kusini kwa matibabu inaendelea vizuri hasa baada ya taarifa kupatikana kuwa anaendelea vizuri na kwa sasa ameenza kutembea mwenyewe na kula mwenyewe.

Source Gazeti la Mtanzania

Thank you Jesus!

I have been praying daily for Dr.ULimboka since he was hospitalised 2 weeks ago.God is really good to them who believes Him. Hakika atakuwa amesikia maombi na vilio vya Watanzania. Nina imani kabisa Mungu amekuwa na makusudi ya kumwepusha na kifo Dr. ulimboka ili aweze kuweka wazi MAOVU YANAYOFANYWA NA SERIKALI YA CCM dhidi ya Watanzania.

ONYO: Kwa vile kuna habari za kuaminika kuwa kuna UWT/TISS wamepelekwa Afrika Kusini kwenda kumwua Dr. Ulimboka,ni lazima kuwa na ulinzi na uangalizi wa karibu sana maana hawa jamaa walishapanga kuondoa uhai wake na wanashangaa sana kwanini hakufa kule Mabwepande maana wao walijua wameshamaliza kazi. Kuna msukumo mkubwa sana katika hili la kummaliza kwa vile Dr.Uli amebeba siri muhimu sana za hao waliomteka(Majasusi wa Serikali ya CCM) na kuendelea kuishi kwa Dr. Ulimboka kuna hatarisha kwanza maisha ya hawa majasusi lakini pia kuna hatarisha Usalama wa Serikali ya CCM kwa 100 pc! Kwa hiyo wanafanya kila mbinu kummaliza Dr.Uli at any cost! Please be very very careful Doc.

 
Sifa na Utukufu ni kwa Mungu.
Mungu umfunike Dr. Ulimboka kwa Damu ya Yesu,
tena umpe umri mtimilifu.
 
Maajabu ya Mungu yanajitokeza hadi sasa. Waliomtesa kwa dhamira ya kuhitimisha maisha yake, walidhani kuwa wameshatimiza malengo yao. Kwani siyo rahisi kwa mateso na madhara waliyomsababishia Dr.Ulimboka kupona. Lakini Mungu kwa sababu zake ameweza kumponya, tunazidi kukuombea upate nafuu zaidi na kupona kabisa. Endelea kumtumaini Mungu wa kweli Dr.Ulimboka, anasababu za muhimu sana kwako kukuachia zawadi ya uhai aliyotupatia.
 
Hizi habari ni njema sana! Kila mwenye roho aliumia sana kuona Dr. alivyopigwa.
 
Laana ni kwa wale wauwaji wa Mabwepande kina Insp Msangi na wenzake, naona kuna haja jamaa aanze ku record kila kitu for records ili hata ikitokea lolote tunaweza kwenda nacho The Hague kama ushahidi!!!!


Mtumishi Wetu,

Tatizo matatizo aliyopata Ulimboka mtanataka kuyageuza ni ya Chadema hapo ndipo mnapokosea.
 
Mungu apewe sifa kwa kuwapa moyo wa upendo madaktari wa Afrika Kusini maana wangegoma, sijui hatma ya Dr. Ully ingekuwaje.

Mwene Nzowa, kuuma na kupulizia ni tabia ya wachawi. Afrika ya Kusini mshahara wa Dr. Anayeanza kazi ni Tshs. milioni saba na vitendea kazi viliiwezesha SA iwe nchi ya kwanza kufanya heart transplantation, wakati Tz. Ni Tshs. aki tisa. Sasa mwene usiye na haya ulitaka Ully akute madactari wa SA wamegoma kwa lipi? Mkuu Nzowa mapenzi yako kwa ccm yasikunguzie hekima!
 
wazomeeni magamba, ooooooooooo!!!! Mungu amponye!!!
 
Thank you Jesus!

I have been praying daily for Dr.ULimboka since he was hospitalised 2 weeks ago.God is really good to them who believes Him. Hakika atakuwa amesikia maombi na vilio vya Watanzania. Nina imani kabisa Mungu amekuwa na makusudi ya kumwepusha na kifo Dr. ulimboka ili aweze kuweka wazi MAOVU YANAYOFANYWA NA SERIKALI YA CCM dhidi ya Watanzania.

ONYO: Kwa vile kuna habari za kuaminika kuwa kuna UWT/TISS wamepelekwa Afrika Kusini kwenda kumwua Dr. Ulimboka,ni lazima kuwa na ulinzi na uangalizi wa karibu sana maana hawa jamaa walishapanga kuondoa uhai wake na wanashangaa sana kwanini hakufa kule Mabwepande maana wao walijua wameshamaliza kazi. Kuna msukumo mkubwa sana katika hili la kummaliza kwa vile Dr.Uli amebeba siri muhimu sana za hao waliomteka(Majasusi wa Serikali ya CCM) na kuendelea kuishi kwa Dr. Ulimboka kuna hatarisha kwanza maisha ya hawa majasusi lakini pia kuna hatarisha Usalama wa Serikali ya CCM kwa 100 pc! Kwa hiyo wanafanya kila mbinu kummaliza Dr.Uli at any cost! Please be very very careful Doc.

Asante YESU Sifa kwa Yesu. Asante kwa Huruma na Upendo wako mkuu kwa Dr. Ulimboka. Tutakusifu na kukuabudu siku zote kwa maana wewe ni Mkuu.
Dr. Ulimboka ataendelea kulindwa na Mungu kwa kuwa ana sababu naye za kuendelea kuwa Hai. Hao wanaojifanya kuwa na uwezo wa kutoa Roho za watu, watapata adhabu yao hapa hapa duniani. Jina la Ulimboka maana yake ni MUNGU UNIPONYE. Kwa maana hiyo Mungu ataendelea kumponya na kumlinda kwa kila baya la mashetani wa dunia hii. Tuendelee kumtukuza Mungu na zaidi sana tusome na kuimba Zaburi ya 35 kila siku kwa ajili ya wote waliomtenda mabaya Dr. Ulimboka.
 
Back
Top Bottom