Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Oooooo my God.

I thnx so much ma Juses christ.
Hakika mwenyezi Mungu hadhihakiwi na watenda matendo maovu

Mungu endelea kumsimamia kijana wako ili apone kabisa.

Mungu mbariki Ulimboka na madaktari wanaomtibu kijana huyu nasiye na hatia.
Mungu ibariki Tanzania hii inayoongozwa na mataahira hawa wa CCM na SERIKALI YAO

Ni hayo. Nawasilisha
 
hii habari nimeisikia magazetini RFA hakika ni habari njema sana..na madaktari waliofutiwa usajiri wamesema hayo waliyategemea na hiyo haifanyi walegeze kamba..

Ila hii hali ya Dr Ulimboka yaweza kupelekea mtu kushushwa Cheo pale Ikulu. Kama wata-base kwenye Output based performance OBP
 
Laana ni kwa wale wauwaji wa Mabwepande kina Insp Msangi na wenzake, naona kuna haja jamaa aanze ku record kila kitu for records ili hata ikitokea lolote tunaweza kwenda nacho The Hague kama ushahidi!!!!



Mtumishi Wetu,

Tatizo matatizo aliyopata Ulimboka mtanataka kuyageuza ni ya Chadema hapo ndipo mnapokosea.

Sijajua hapa CHADEMA umeichomekeaje, mwanzoni ulianza na comment kama mtu mwenye uelewa mzuri.
 
Ni habari nzuri sana lakini wasi wasi wangu kuwa hawa vijana wa Jack Zoka si watafanya jaribio tena? Shetani ni mbishi kweli kweli.Naichukia mno CCM, TISS, POLISI, NEC na kubwa la maadui Baba Mwanaasha.
 
Waliokabidhiwa jukumu la kuongoza nchi wameamua kutumia nguvu za giza na kuwatelekeza wananchi kwa faida tyao binafsi na familia zao. Wameshindwa kuelewa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mweza wa kila jambo na kuwa daima penye nuru giza hutoweka, aibu haitawatoka daima na adhabu kwa mambo machafu na ya uovu waliyofanya na wanayoendelea itawapata hapa hapa duniani.


EE MWENYEZI MUNGU ENDELEA KUMLINDA MJA WAKO NA UMSAIDIE ULIMBOKA APATE KUPONA HARAKA.
 
Back
Top Bottom