Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,099
- 136,709
u r going TOO FAR! watch your fingers!
How am I going too far?
u r going TOO FAR! watch your fingers!
Sasa mtu mmoja kula kipigo ndio hakuna amani, amani ipo tena kwa sana na CCM itahakikisha kuwa amani itaendelea kuwepo,usipotoshe umma kijana. Mnakaa kulaumu serikali bila hata kupata ushahidi wowote. CCM itatawala milele, na nyie CDM acheni uhaini,mtafia jela.
Mungu amsaidie apone haraka. Mengineyo haki itatendeka hata ikiwa miaka mbele watajulikana, kina Kombe walifanyiwa mchezo kama huu..tumwombee Mungu apone.
Kwani wameumbuka kidogo? Mungu ndiye anayetupa na kuchukua uhai kwa sisi tunaoamini. Haya matishio mengine kama wengine hawatakufa hayana tija. Siamini kabisa katika kuteketeza maisha ya mtu au watu wengine....either kwa siasa, ujambazi, wivu au lolote lile!
Mkuu wangu najua sana kwamba nimeandika mambo mazito sana yanayouma lakini Ndivyo Ilivyo! Na tunaytakiwa kujifunza ktk kila jambo linalotupata hapa duniani maana kinachoendelea nchini haikina huruma kwa watu wengineo. Tazma picha utaona Dr.wetu kawekewa vifaa vya kila aina kuhakikisha anapata huduma ambayo kuna watu 100 hawaipati tena kwa sababu ya mgomo wa Madaktari...
Well n good..Haibadilishi kitu!...Kwa kuhemu matukio tunayoishi sasa nisingeta kugeuza huu uzi uwe wa malumbano, lakini itoshe nikisema kuwa sijasoma hiyo post yako hapo juu. I just decided not to.
nihesabiye mimi nitakuwepoShiriki maandamano tarehe 04.07 2012 ubungo mataa kuwa shaidi wakudai huduma bora ya afya mwambie na mwenzako
Wabongo bana, so ndugu zetu wanaondelea kufa kutokana na mgomo wa akina Ulimboka hawana haki ya kuishi ama, mimi simuonei huruma huyu jamaa honestly, mgomo wao unawaumiza ndugu zetu sana, na simuombei kupona.
Mgaya (Katibu TUCTA) amesema wapo kwenye mchakato wa kuliwasilisha jambo hilo kwenye shirika la kazi Duniani (ILO)