Thread haijakaa vizuri.
Hari ya Dr.
Olimboka aluyeko A. Kusini kwa matibabu inaendelea vizuri hasa baada ya
taarifa kupatikana kuwa anaendelea vizuri na kwa sasa ameenza kutembea
mwenyewe na kula mwenyewe.
Source Gazeti la Mtanzania
Hari ya Dr. Olimboka aluyeko A. Kusini kwa matibabu inaendelea vizuri hasa baada ya taarifa kupatikana kuwa anaendelea vizuri na kwa sasa ameenza kutembea mwenyewe na kula mwenyewe.
Source Gazeti la Mtanzania
Watagomaje wakati serikali Yao inawajali?Mungu apewe sifa kwa kuwapa moyo wa upendo madaktari wa Afrika Kusini maana wangegoma, sijui hatma ya Dr. Ully ingekuwaje.