Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Good news kwa wapenda maendeleo wote nchini.Tuzidi kumwombea kwa Mungu ili aweze kupona haraka zaidi ili aje tuendelee na mchakato wa kuleta mabadiliko nchini
 
Good news kwa wapenda maendeleo wote nchini.Tuzidi kumwombea kwa Mungu ili aweze kupona haraka zaidi ili aje tuendelee na mchakato wa kuleta mabadiliko nchini

Kila nafsi itaonja mauti kwa ridhaa ya mwenyezi Mungu na siyo ya wanadamu get well soon doctor
 
  • Thanks
Reactions: CAY
Mungu apewe sifa kwa kuwapa moyo wa upendo madaktari wa Afrika Kusini maana wangegoma, sijui hatma ya Dr. Ully ingekuwaje.


Nchini Afrika ya kusini wana uongozi bora, kuweza kuhudumia wana nchi wake kwa huduma muhimu ikiwemo Afya. (Hospital nzuri zenye vifaa na dawa za kutosha, pia wanawajari wahudumu wa afya pia) Mungu atusaidie kuwa na viongozi wenye kutoa maamuzi yenye hekima na busara kunusuru maisha ya wa Tanzania.
 
Good news! Tuwambee na kuwakumbuka pia watanzania wasiyo na hatia walioathirika kwa kukosa matibabu kutokana na hii labor dispute.
 
Wish you quick recovery. Bado tunahitaji msaada wa wataalamu wa afya
 
Ndio ni jambo la kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwamba Dk. Ulimboka anaendelea vema. Tuendelee kumwombea apone haraka na kikamilifu iili arudi kwenye harakati za ujenzi na ukombozi wa Tanzania.
 
Nchini Afrika ya kusini wana uongozi bora, kuweza kuhudumia wana nchi wake kwa huduma muhimu ikiwemo Afya. (Hospital nzuri zenye vifaa na dawa za kutosha, pia wanawajari wahudumu wa afya pia) Mungu atusaidie kuwa na viongozi wenye kutoa maamuzi yenye hekima na busara kunusuru maisha ya wa Tanzania.
Sio SA pekee, kwani hata 'watani' zetu Kenya wanajitahidi na wanaenda vizuri.
Prof. Wangari Mathai alifia Nairobi Hospital na hata PM Laira Odinga alifanyiwa operation ya kichwa hapohapo kama mwaka mmoja hivi uliopita.

Dr. Stephen Ulimboka kama amefikia hiyo hatua itakuwa ni habari njema kwa familia, madaktari na Watanzania walio wengi
 
Hari ya Dr. Olimboka aluyeko A. Kusini kwa matibabu inaendelea vizuri hasa baada ya taarifa kupatikana kuwa anaendelea vizuri na kwa sasa ameenza kutembea mwenyewe na kula mwenyewe.

Source Gazeti la Mtanzania
Ahsante Mkuu kwa taarifa, ila jamaa inabidi kuongeza ulinzi maana hawa watu bado wako free so they can plan anything to cover up the issue!!!

 
Mungu atamjalia atapona haraka nakurudi kuungana na famalia yake.
Mambo yenu mnayo tetea yatawekwa hadharani, labda mmnunue kwa fedha nyingi kama ilivyo kawaid yenu mnatumia kila mbinu!!!!

 
Mi ninachoomba apone kabisa na aurdi kuendeleza libeneke.......
sijali kiswahili cha mleta mada kupinda ama sosi kutoaminika. APONE! ARUDI! ATUAMBIE!
Bhaaaaaasi!
 
Back
Top Bottom