gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
real its very sad what he is going through, but God is good he is going to make it. but how and when? please God have mercy on this.
kuna sentensi ya wewe ni kadagaa tu katika bwawa lenye kambale na tutakumaliza atakaye lia ni mama yako" niliwah kuiskia hii sentensi na sikuamini kama yaweza toka kwenye kinywa cha binadamu sasa kwa hili nimeamini usemi huu.
kuna sentensi ya wewe ni kadagaa tu katika bwawa lenye kambale na tutakumaliza atakaye lia ni mama yako" niliwah kuiskia hii sentensi na sikuamini kama yaweza toka kwenye kinywa cha binadamu sasa kwa hili nimeamini usemi huu.