Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
dr ulimboka kumbuka na naamini nia na dhamira ya Mungu kukuweka hai ni kuiumbua serikali iliyoko madarakani kwa unyama unaoufanya dhidi ya wananchi,usiposema ukweli tena adhalani hakika Mungu akupige kofi mara tatu ya hongo utakayokuwa umepewa.Jitokeze bila woga eleza ukweli bila kumuonea mtu wala kumficha mtu hiyo ndio lengo la Mungu kukuacha hai mpaka leo.kumbuka neema ya Mungu iliyokunusuru na kifo itakulinda milele