Dr. Ulimboka azimwa

Dr. Ulimboka azimwa

Dr.ulimboka tunakuomba ujitokeze hadhalani useme kama maana kukaa kimya unajitengenezea matatizo zaidi ipo siku watakumaliza usio wataja wote walio kuteka
 
Lakini pia wanaharakati na hata wanasiasa kila siku wanajaribu kumshawishi atoke hadharani kusema ukweli kabla tukio hilo halijaanza kusahaulika masikioni mwa watu,”

NA familia yake je ? hao maharamia walomfanyia hivo tunaambiwa baba aliekuwa na hasira kwa mwanawe kufariki kwa mgomo wa madaktari ndio walomtibu ulimboka je hamuoni watamfanyizia tena? hebu mwacheni kaka wa watu apumzike na familia yake,, yakimkuta makubwa mtaiangalia familia yake ! dokta pumzika ! usisikilize ya watu ukitokewa na makubwa watakaumia ni watoto, mkeo na wazazi wako wapi watampata ulimboka mwengine ? wao watakuzika baada ya hapo watakusahau! kaa chini ufikirie kwa upana !

 
Nakuunga mkono mkuu....Kuharibiwa kikojoleo sio issue ya mchezo

Na kung'olewa meno na kucha bila ganzi,na kuliwa tigo bila kinga si mchezo,hapo ujasiri wote umemuishia amebaki na aibu tu,watu wanamshauri aseme ukweli anadengua na kurembua hebu tuachaneni nae.
 
Back
Top Bottom