sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Mwacheni anyamaze manake hata akisema hakuna tutakachokifanya zaidi sana ni kujificha nyuma ya keyboard ,,,mwacheni baba wa watu aishi kwa amani na familia yake. Watanzania kwa uoga wetu tutaendelea kunyamazishwa mpaka siku tutakapoacha woga.......Ulimboka amegundua hata akisema wala hakuna kitakachofanyika ...........alipelekwa msitu wa pande yeye, alipigwa na kuteswa yeye.....je ni nani aliyekiendeleza kile alichoanzisha Ulimboka? Wote mikia imerudi nyuma.....hata ningekuwa mimi ndie Ulimboka ningeuchuna kabisa! Tunashukuru Mungu vile amemwezesha kupona na kuungana tena na familia yake!