Sr. Magdalena,
Umewatusi Watanzania wenye akili na mapenzi mema kwa nchi yao kwa kupambanisha Muadilifu na Fisadi. Unapotaka kupambanisha jaribu kutafuta walau wenye caliber sawa. Mpambano wako ni kati ya R&B na dogori
mkristo vs mkristo hahahahaa. "kama kuna wagombea wengi na katika hao kuna waislamu wawili basi ukiona muislamu mmoja anaelekea kushinda mchague huyo huyo"
CDM hawana desturi ya kusimamisha mgombea wa urais zaidi ya mara moja, sasa ni zamu ya Prof Safari au Hamad Rashid, Zitto ajipange 2020 na Sibuda 2025.
Hata yeye slaa anajua kuwa atayeyuka kama barafu. Hata mwenyekiti wake Mbowe anaijua nguvu ya rafiki yake Edward. mapenzi yenu hayawezi kuwa reality kwenye kura ya simple stupid majority (aka democracy).