Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Its about time Dr Slaa ajiuzulu awe tuu mshauri wa Chama...70 na bado anangangania...dang!....Uroho wa madaraka alafu mnasema CHADEMA MNATAKA CHANGE!!!....You say whaaat?...BS
 
Michael Sata wa Zambia ana miaka mingapi?Toa mifano ya hao walioziingiza nchi zao kwenye vita kutokana na umri wao.Ila lililo wazi ni kwamba vijana wana rekodi ya kuvuruga katika tawala zao.Kwa mfano Samwel Doe wa Liberia.Joseph Kabila wa DRC,halafu yule aliyesemwa ni tumaini la wadanganyika wa Kusadikika.
 
Utapata laana kijana, kwa kumtukana mtu kama Dr Slaa, ni watu adimu sana kwenye hii nchi, pia kumtukana Dr Slaa ni sawa na kuwatukana wazazi na watanzania wote kwa ujumla.
 
Askofu wa kanisa Katoliki anastaafu akifika 75. Dr Slaa katokea huko hivyo tumvumilie tu hasa kwa kuwa Padre hana umri wa kustaafu.

Natamani siku moja Dr Slaa awe MKWELI katika nafsi yake aseme aliachaje Upadre.
 
Heeee....mika 70 bado anatembea na KIMADA........siamini....hafai kuwa raisi akaongoze WAZINZI WENZAKE......
 
askofu wa kanisa katoliki anastaafu akifika 75. Dr slaa katokea huko hivyo tumvumilie tu hasa kwa kuwa padre hana umri wa kustaafu.

Natamani siku moja dr slaa awe mkweli katika nafsi yake aseme aliachaje upadre.

mzinzi....
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Kilichonifurahisha kumbe at 69 yrs Dr Slaa amepata mtoto! Wonderful! sijui wengine km tutaweza, na mavyakula ya siku hizi!
 
Tatizo posho na njaa, mnataka astaafu at 70 mwenzenu ana mtoto wa mwaka mmoja mtamsomesha ninyi?
 
Wengine walijaribu kumchafua Dr.slaa kuwa ana kadi ya CCM,ana mke wa mtu nk.wameshindwa labda na wewe jaribu bahati yako
 
Kilichonifurahisha kumbe at 69 yrs Dr Slaa amepata mtoto! Wonderful! sijui wengine km tutaweza, na mavyakula ya siku hizi!

wengi wetu humu miaka 60 tu 'abdala kichwa wazi' keshageukia kibla! Hawezi tena ile 'kidumu chama' au 'peoples power'! Ungangari wa 'kikafu' wote unakwisha kama 'kifo' cha kisiasa cha msaliti ' Zitto ' . HONGERA DR. SLAA
 
Last edited by a moderator:
Mangula anamiaka mingapi?? Je,waujua umri wa Samuel Sitta?
 
ni kweli umri umeenda lakin yeye ni mchaga hatuna namna. Tundu lisu si mchaga
 
Its about time Dr Slaa ajiuzulu awe tuu mshauri wa Chama...70 na bado anangangania...dang!....Uroho wa madaraka alafu mnasema CHADEMA MNATAKA CHANGE!!!....You say whaaat?...BS

It is not age that matters, but what one has in his upper fuculties.
 
Back
Top Bottom