Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Kinachokushangaza nini?
Ukistaajabu ya Musa.............uni!
Wewe unatuambia nini kuhusu Kingunge!
 
iv kale ka ajuza ambako hakana dini..,wenyewe mnakaita KINGUNGE kana miaka mingap?
 
Talk of think tank,mwalimu died at 77,did he at any point stop being a think tank for nyinyiem.think twice.
 



Huyo dogo nasikia kapiga mihela kishenzi. CCM walimwona kaongea sana inasemekana wakamtafuta na ile kumpata tu wakampiga na na 20m hivi. Then walipomfikisha kwa wazito wenyewe akapigwa km 50m na tayari ashatoka, yaani mambo mazuri.
 
No research, no right to.... kamanda is just about to be 66 "Ngoma inogage"

[h=1]Wilbrod Peter Slaa[/h] Wilbrod Peter Slaa (amezaliwa tarehe 29 Oktoba 1948) alikuwa mbunge wa jimbo la Karatu katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[SUP][1][/SUP] Baada ya kugombea urais mwaka 2010 si mbunge tena, ila anaendelea kuwa katibu mkuu wa chama cha CHADEMA.
[h=2][/h]



WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Kwanza ni uhuni kuandika jambo ambalo si la kweli kwa ajili ya kujipatia kipato tu huko Lumumba. Dr Slaa hajafikisha bado umri huo labda kama hesabu zangu haziko sawa. 1948 to 2014. What is the difference here?
 
Mkuu,

Ni nani amekwambia Dr Slaa ana pensheni?

Hana lolote huyo mzee, yeye pamoja na mchumba wake hawapo kwenye mifumo ya mafao ya mfuko wowote ule.

Who knows, huenda hofu yake ipo hapo kuwa akipisha wengine, yeye ataishije?

ndio maana anakwapua ruzuku ya cdm kwa nguvu zake zote
 
Back
Top Bottom