Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

hepi basdei tuyuuuuuuu. hapi basdei dia babuuuuuuuu hepi basdei tuyuuuuuuu.
 
Unashindwa kuweka point ya kueleweka unaanza kupoint fingers. Kama issue ni umri ............... then twambie, mathink thank wa CCM ni akina nani kama siyo hao niliowataja?? Mkiwa poa mnajidai na akina Mwiglu. Mambo yakichacha mnaowakimbilia ndiyo hao niliowataja ................ Mwinyi, Mkapa, Malecela, Gingunge, .......................!!! Hakuna kitu kipya CCM zaidi ya cheap politics kama unazozianzisha kila siku hapa JF!! Fanya kazi yako uliyotumwa humu badala ya kutukana watu kwa ID zao!!

UNAHANGAIKA NA HAMMY - D ? Huyo ANAYEKESHA KUSHAMBULIA INDIVIDUALS ! USIPOTEZE MUDA MJOMBA .
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa..

hii hatari kubwa si ndo inawasaidia nyie maccm au hamtaki CHADEMA ife?
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Naona unafikiri kwa kutumia makalio..kile kibabu chenu kule bungeni kinafanya nini? wakina six wale ni vijana ...tumia akili wewe mtu mzima sasa !
 
DR. SLAA kwa uelewa wangu amezaliwa 1948 sijui 70 inafkaje! Hata hvyo MANDELA alizaliwa 1918 akawa rais mwaka 1994 alikuwa na umri gan? Hamd y acha utoto.
 
Slaa siyo Dr. hata kidogo. Doctrate aliipata wapi?, anadiploma ya rural dev. tu, na nyingine ni certificates tu. Hiyo Ph.D ya Canon Law ya kikatoriki inatuhusu nini au itatusaidia nini sisi Watz? Hiyo ilimsaidia yeye Slaa kuendeleza uzinzi na kuchukua wake za watu na kutangaza hadharani eti wachumba zake! shiiit, Slaa ni mnyama hatari sana. Tatizo siyo umri pekee, pia Elimu na maadili hana. Jitu kama yeye anadhulumu haki za watoto, kwa kuzaa mtoto mchanga akiwa ktk umri wa miaka 70, Je mtoto huyu atafaidi nini kutoka ktkt malezi ya baba, kwani tayari Slaa ni babu. Na wote mnawafahamu tabia za mababu.
 
Teh teh teh, kumbe una binti mkubwa hivi.
Remote ni bint yangu mkuu

Anaingia darasa la sita mwakani,we huoni anavyokatika katika nyonga yake??tabia hizo za kshenzy anafundishwa na mama yake,hata nikimuonya hataki,

Akisumbua tuh humu ndani wewe niita nimpe radhi zake,

Naomba lakin usimmendeee maana vijana wa JF hamkawii nyinyi

cc kahtaan na faby
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa hivi ndo akili za Dr. Slaa zinachaji kwa hekima kuliko vijana wengi! Tunataka aongoze mapambano hadi ikulu na akae huko kwa angalau muhula mmoja kama Mandela! We vipi? Mbona hata JK kamteua Kingunge bunge la Katiba? Ana umri gani? Katiba ya Kisoviet zamani za ukomunist ilikuwa inasema kuwa Raisi wa Jamhuri ya Kisoviet asiwe na umri chini ya miaka 70. Mara walipobadilisha tu na kumuweka kijana wa miaka 50, Mikhail Gorbachev, Jamhuri ikasambaratika. Kwa Chadema tunamhitaji Slaa sasa kuliko wakati uliopita. Kwanza ndiye aliyepakiasha chadema hadi hapa ambapo hakiwapi baadhi ya watu usingizi.

Acha kutapatapa wewe...Kingunge pale bungeni ameenda kuwakilisha wazee, kwani kuna ubaya wazee kupata mwakilishi wao!?
 
MADEREVA BODABODA, BAJAJ WAANDAMANA KUFIKISHA KILIO CHAO OFISI KUU YA CHADEMA JIJI LA DAR



Madereva Bajaj na bodaboda wakiwa nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar wakipinga tamko la kuzuiwa kuingia katikati ya jiji. Polisi wakiwa eneo la tukio kudumisha ulinzi.
Mmoja wa madereva Bajaj akiongea na vyombo vya habari nje ya ofisi za Chadema.
WAENDESHA bodaboda na Bajaj jijini Dar leo wameandamana mpaka ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zilizopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Nia ya maandamano hayo ni kupinga tamko linalowataka kutopeleka abiria maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar.
Mmoja wa madereva hao, akiongea na wanahabari alisema kwamba wameamua kuandamana mpaka ofisi za Chadema kwa kuwa wanaamini ndio watapata msaada wa tatizo lao.
(HABARI NA DJ SEK BLOG)
 
WanaJF,

Kwa sasa Dr Slaa ametimiza miaka 70 rasmi lakini bado ameng'ang'ania nafasi kubwa ya kimaamuzi kwenye chama. Jambo ambalo ni hatari kubwa.

Kwa tafiti fupi iliyowahi kufanywa ilionyesha kuwa viongozi wengi waliowahi kuingiza nchi zao kwenye vita ni wale wenye umri mkubwa kama huo wa Dr Slaa.

Hivyo maamuzi ya CHADEMA kumtumia Dr Slaa mpaka sasa yanaweza kuhatarisha amani hasa kwenye kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na maamuzi ambayo yanaweza kufanywa na Dr Slaa kutokana na umri wake.

Aidha, itakumbukwa miaka ya hivi karibuni Dr Slaa alikuwa akitoa kauli na ajabu ajabu na zenye viashiria vya kutaka kuleta uvunjifu wa amani. Sasa pata picha hali itakuwaje kwenye uchaguzi?

Ningependekeza Dr Slaa apelekwe kwenye baraza la wazee la chama na nafasi yake ichukuliwe na Tundu Lissu ili kukipa uimara chama ili kiweze kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu ujao.

you got be kidding me,sometime the more u get older the more wisdom,remember nyerere,dr W.P Slaa is unsung hero of our time,a charismatic leader,tatizo we tanzanian tumekua occupied na matumbo yetu,shall truth set us free!
 
ivi think tank au tuseme ID ya mtu inahusiana na umri?tuseme mwalimu kipindi ana umri wa 70 hakuwa tena mtu wa kusikilizwa?Mugabe ana umri gani?

they are all talking!tanzania inamhitaj mtu kama dr slaaa,to win against all odds!
 
Dhambi ya kuacha kazi za bwana haitamuacha, angeendelea na utumishi naamini mwaka jana hata UPAPA angegombea, lakini tamaa za mwili ndo zimemfikisha hapo alipo. Ukiachilia mbali nyazifa, hata nyumba ndogo bado anang'ang'ania.
Yaani huwa sipati picha siku anaaga alisemaje mbele ya watumishi wenzie!!! uzalendo umenishinda....!!!????....:majani7:
 
Warioba sio mwanasiasa, ni mstaafu. Hapa tuna ongelea wanasiasa wakongwe wenye nia ya madaraka. Please focus.

Unawaza kama uko immune compromise na mashudu yamemletea complications. Tutakupa second line au uende Loliondo.
 
MADEREVA BODABODA, BAJAJ WAANDAMANA KUFIKISHA KILIO CHAO OFISI KUU YA CHADEMA JIJI LA DAR



Madereva Bajaj na bodaboda wakiwa nje ya ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar wakipinga tamko la kuzuiwa kuingia katikati ya jiji. Polisi wakiwa eneo la tukio kudumisha ulinzi.
Mmoja wa madereva Bajaj akiongea na vyombo vya habari nje ya ofisi za Chadema.
WAENDESHA bodaboda na Bajaj jijini Dar leo wameandamana mpaka ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zilizopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Nia ya maandamano hayo ni kupinga tamko linalowataka kutopeleka abiria maeneo yote ya katikati ya jiji la Dar.
Mmoja wa madereva hao, akiongea na wanahabari alisema kwamba wameamua kuandamana mpaka ofisi za Chadema kwa kuwa wanaamini ndio watapata msaada wa tatizo lao.
(HABARI NA DJ SEK BLOG)

Acha umbea! Slaa ana umri wa miaka 65 sasa. He will turn 66 on 29 October 2014. Waendesha bodaboda na bajaji wamekwenda ofisi za Chadema kwa kuwa wanajua Slaa ni think-tank! Angalia umri wa ma-think tank wengine: Nelson Mandela alizaliwa 18.7.1918, na alianza kazi ya Urais wa Afrika Kusini, 10.5.1994, akiwa na umri wa miaka 76. Michael Sata alizaliwa 6.7.1937, na alianza Urais wa Zambia, 23.9.2011, akiwa na umri wa miaka 74. Mwai Kibaki alizaliwa 15.11.1931, na alianza Urais wa Kenya, 30.12.2002, akiwa na umri wa miaka 71. MiCCM bhana, wanamwita Slaa babu, lakini wanamwita Kikwete kijana, wakati alizaliwa 7.10.1950, na Slaa anamzidi Kikwete miaka miwili tu! Shame!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Warren Buffet is above 80 je bado ni thnk tank????Ngombale mwiru ni 80+ je bd ni thnk tank???acha ku tumia kuberi kijana ni hatari kwa uzao wako!!!
 
warioba sio mwanasiasa, ni mstaafu. Hapa tuna ongelea wanasiasa wakongwe wenye nia ya madaraka. Please focus.

we acha kiherehere lini ushawahi msikia dr.slaa kwa kinywa chake akisema atagombea urais 2015

kama ni kusema ni watu wengine wanaosema kwa niaba yake kwa sababu bado ni jembe na taifa linamhitaji
 
Acha kutapatapa wewe...Kingunge pale bungeni ameenda kuwakilisha wazee, kwani kuna ubaya wazee kupata mwakilishi wao!?
Usitake kutulazimisha sisi WanaChaema kuwa na chuki na Dr. Slaa kama uliyo nayo wewe. Yule ni jembe! Kosa la CCM ni kuwatupa Wazee na Kuwaenzi vijana wasio na Vision wala kufahamu mission ya Chama chao. Badala ya kueleza vision yenu mmebaki kuitukana Chadema na kumchukia kibinafsi Dr. Slaa. Sisi Chadema twampenda na kumwamini Dr. Slaa na huna sababu ya kukubaliana nasi kwani wewe ni gamba sugu.
 
Back
Top Bottom